Huu ni mkakati wa kuchafua 'legacy'ya JPM, ila hawatafanikiwa.
Tindo zitto junior Yoda Matola Statesman Idugunde Crimea comte Suzy Elias peno hasegawa britanicca JokaKuu
FRANC THE GREAT
Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
Huyu jamaa aliwahi kupeleka hoja JPM aongezewe muda wa kuongoza. Leo anaanza kumnanga JPM. Wana siasa watu wa ajabu sanaAliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
Huo ndio ukweli wa siasa za ccm, bila unafiki hufiki mbali, niambie ni nani ndani ya ccm, sio mnafiki?!!Na huyu ndio mbunge ambae wananchi wanategemea awatetee
Umesahau wabunge na madiwani wenu wa chadema waliojiuza kwani hujui kwamba walikuwa na wake na watoto? Kwanini hawakubaki na msimamo ili waheshimike?Angebaki na msimamo wake hata kama angefukuzwa chamani angeheshimika zaidi, lakini kitendo cha kutaka Magufuli atawale miaka saba ili kujikomba kwake ndio alijivua heshima yote.
Atambue hata wale wengine waliofukuzwa CCM kwasababu ya misimamo yao walikuwa na watoto pia, lakini waliondoka ili kulinda heshima zao.
Na huyu ndio mbunge anawaonyesha wananchi wake kwamba anautumia ubunge kama sehemu ya kuingiza kipato badala ya kuwawakilisha wananchiNa huyu ndio mbunge ambae wananchi wanategemea awatetee
Hili halina ubishi mkuuHuo ndio ukweli wa siasa za ccm, bila unafiki hufiki mbali, niambie ni nani ndani ya ccm, sio mnafiki?!!
Nani kwenye bunge , ambaye anawawakilisha wananchi ki uhalisia?wote wanapigania matumbo yao tu.Na huyu ndio mbunge anawaonyesha wananchi wake kwamba anautumia ubunge kama sehemu ya kuingiza kipato badala ya kuwawakilisha wananchi
Hilo halina ubishi na linajulikana kwamba ni wanapigania tumboNani kwenye bunge , ambaye anawawakilisha wananchi ki uhalisia?wote wanapigania matumbo yao tu.
Nonsense. Unafiki mtupu.Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
Huyu ni nguchiro tu anatukana msasi akiona shimoAliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
[emoji38][emoji38][emoji38]Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
Wewe ambae unajiamini.kwa nini hukupinga Msaada hadharani badala yake Nkamia alipinga na baada ya kuona Yuko hatarini akajihami?Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa tena na wananchi. Maana ni muoga, hajiamini, mbinafsi, mnafiki na mchumia tumbo.
Wewe ni Juma Nkamia? Tuanzie hapa kwanza. Halafu ni nani aliyekuambia nina msalaba ninaotaka kumbebesha mtu mwingine?Wewe ambae unajiamini.kwa nini hukupinga Msaada hadharani badala yake Nkamia alipinga na baada ya kuona Yuko hatarini akajihami?
Ulitaka msalaba wako akubebee nani?
Naamini ameelezea kilichokuwa kikifantika kwa viongozi wengi. Maana yake utaratibu au aina ya uongozi wa wakati huo uliwafanya wateule wawe na mbinu za ku'survive' (kama alivyofanya huyu mkuu). Can you imagine!Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma