Juma Nyoso amdhalilisha John Bocco

Status
Not open for further replies.
afungiwe maisha hata ndondo asicheze pumbavu zake ,hivi hata mkewe sianaweka kumpiga dole barabarani shenzi zake
 
Huyu Nyoso shwain kabisa. Ana tabia za kishenzi namna hii?
Huyu afungiwe kucheza soka miaka si chini ya mitano. Ili apate muda wa kutosha wa kupumuliwa na kupumulia mashoga.
 
Vitendo kama hivi vitawafanya wazazi wasiruhusu watoto wao wakiume kwenda kucheza soka
 
Anatafuta kiki.
Afu inakuaje uyo jamaa anasikilizia tu utamu?


Kinachonishangaza ni jinsi Bocco alivyotulia, ningekuwa mm pangechimbika.

Wakuu hicho ndio kinanishangaza inawezekanaje wanaofanyiwa hicho kitendo watulie tuli ??? Au Nyosso Mchawi ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…