[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana mdogo wangu.loooh nina week tu nilipata ban ya siku tatu kosa ni kusema ngoja waje cc hajar nimekoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kabisa rafiki yaani inabidi kuvumilia tu mpaka iishe kisha maisha yanasonga mbele.Umeona ee rafiki angu sema mdo hakuna namna unakua mpole tu manake umeshika makali
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma Sanadaaaah alafu inauma sana unapotumia akili kuandika alafu inaonekana ni text chochez na kuishia kufutwa...[emoji23][emoji23][emoji23]
ila hongera kwa kutoingia gerezan hata mara moja
Pole sana ukhuty, kumbe ndio maana ukawa kimya!
Pole sanaloooh nina week tu nilipata ban ya siku tatu kosa ni kusema ngoja waje cc hajar nimekoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wengine nahisi huwa wanasahaulika hv kweli mods wanapitia kila kitu?Jimmie, si kama umuhimu walinipa ban ya uonevu lijitu linatukana bila sababu nikalijibu nikapewa ban.
Ahsante sana ( kwa niaba) [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole sana
Ewaa umfikishie mdogo wako pole yangu halafu urudi nakusubiriAhsante sana ( kwa niaba) [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Halafu umebadilisha signature kimya kimya eeh?π³Ahsante sana ( kwa niaba) [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimeshamfikishia nimerudi Sesten. [emoji23]Ewaa umfikishie mdogo wako pole yangu halafu urudi nakusubiri
Tangulia kanisubiri ofisini kwangu eeh HajarNimeshamfikishia nimerudi Sesten. [emoji23]
Kumbe sikukwambia Pole Sesten nimeibadilisha toka jana mchana.Halafu umebadilisha signature kimya kimya eeh?π³
Naja naja naja SestenTangulia kanisubiri ofisini kwangu eeh Hajar
Ni nzuri sana mamii wala haina shida, ujumbe unaeleweka, ila nili mind tu hukuninong'oneza kua unabadiliπππKumbe sikukwambia Pole Sesten nimeibadilisha toka jana mchana.
[emoji101] [emoji101] [emoji101] enheee. Ni mbaya kwani? [emoji12] [emoji12]
Nimekuelewa sana kwenye Id mbili mbili....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna Ban ambayo haijawahi kuumiza Mkuu labda kwa wale wenye id mbilimbili ila kama mie nilikuwa nna kazi ya kuchungulia tu kuona kama imekwisha.
Maana niliipataga kipindi ambacho ndio nilikuwa mteja hasa wa jf.
Popcorn zipo pale usijali, karibuNaja naja naja Sesten
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]loooh nina week tu nilipata ban ya siku tatu kosa ni kusema ngoja waje cc hajar nimekoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh. Pole sana.Ni nzuri sana mamii wala haina shida, ujumbe unaeleweka, ila nili mind tu hukuninong'oneza kua unabadiliπππ
Nishaziona Ahsante. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Popcorn zipo pale usijali, karibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba zina faida mdogo wangu au maana mie dada yako ujanja wangu wote nakomaa na hii moja miaka nenda rudi.Nimekuelewa sana kwenye Id mbili mbili....[emoji23] [emoji23] [emoji23]