Jumamosi kwa mara ya kwanza nilipata kifungo (BAN) katika gereza la JamiiForums

Hakuna Ban ambayo haijawahi kuumiza Mkuu labda kwa wale wenye id mbilimbili ila kama mie nilikuwa nna kazi ya kuchungulia tu kuona kama imekwisha.

Maana niliipataga kipindi ambacho ndio nilikuwa mteja hasa wa jf.
Mpaka ostadhat umekula BAN??![emoji2] [emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
woyooooo nimerudi mwenye UZI maana ile jumanne nilivyoleta huu uzi sikuchukua mda nikala BAN nyingine ya siku tatu nimerudi jamani ila nimeamini msemo wa ukishaingia jela basi kila siki utarudi...

naomba msiniulize sababu ya BAN maana ile jumanne katika kumuelewesha mdau juu ya sababu ya BAN ndiyo wakanipiga tena nyingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

niliwakumbuka ndugu zangu cc theriogenology Raynavero Numbisa Shunie Mwifwa Castr Hajar ukhuty Sesten Zakazaka Nyani Ngabu espy Mzigua90
 
Naomba nisimulie huyu kijana ema kafanyaje naona ni gumzo,niliona aliomba msaada wa godoro,uzi ukawa mrefu nikaona uvivu kuusoma wote

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu nilirudishwa tena gerezani BAN ndio nimetoka now naona quote yako

kijana ema baada ya kuleta uzi anaomba msaada na kupewa msaada sasa juzi kati akaja na Uzi anajiita CIA agent alafu anajibu shit watu waliompa msaada anasema ile post ya kuomba msaada alikuwa yupo undercover na ni mtego na kazi yake ameshamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…