Hahaha mods wakishashibaga kuku wa KFC wanakuwaga na Matatizo sanaMkuu huwezi amini walinirudisha tena gerezani ndio wamenitoa hapa [emoji23][emoji23][emoji23] daaah naelekea kuwa mfungwa mzoefu sasa
Na imani utakuwa umetambua ya kuwa JF ni tamu kuliko papuchi Mkuu [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
acha tu yani hapa nahisi nasubiriwa niteleze kidogo nitaje tena lile neno nile BAN nyingine ππHahaha mods wakishashibaga kuku wa KFC wanakuwaga na Matatizo sana
[emoji252] [emoji479]
hili swali lako nilivyolijibu lilisababisha nile BAN nyingne ndo imeisha now π
asee dada angu si kwenye uzi huu huu ile day wakanilima tena BAN ya siku tatu ndio imeisha hapaBan yangu ya kwanza ilikuwa july 2013 aisee nlihangaika nikaipangua nikarudi ndani ya robo saa kulikuwa kuna maandamano kila post free amu,simu kwa wakubwa hazitulii mpaka wakanifungulia ,ndo sababu ya invisible kuweka angalizo hapo juu.
Juzi juzi nlipata ban tena tulifagiliwa kama kumbi kumbi na nlikuwa katikati ya mtongozo wa maana sana sema ban za siku hizi mda mfupi sana unahesabu masaa zamani ilikuwa mwezi.
Ahaaaa kumbe so uzi upo au ushafutwa?mkuu nilirudishwa tena gerezani BAN ndio nimetoka now naona quote yako
kijana ema baada ya kuleta uzi anaomba msaada na kupewa msaada sasa juzi kati akaja na Uzi anajiita CIA agent alafu anajibu shit watu waliompa msaada anasema ile post ya kuomba msaada alikuwa yupo undercover na ni mtego na kazi yake ameshamaliza
umeshafutwa nahisi maana hata ukisearch haupo