Jumamosi kwa mara ya kwanza nilipata kifungo (BAN) katika gereza la JamiiForums

Jumamosi kwa mara ya kwanza nilipata kifungo (BAN) katika gereza la JamiiForums

Hahaha mods wakishashibaga kuku wa KFC wanakuwaga na Matatizo sana

[emoji252] [emoji479]
acha tu yani hapa nahisi nasubiriwa niteleze kidogo nitaje tena lile neno nile BAN nyingine 😂😂
 
Ban yangu ya kwanza ilikuwa july 2013 aisee nlihangaika nikaipangua nikarudi ndani ya robo saa kulikuwa kuna maandamano kila post free amu,simu kwa wakubwa hazitulii mpaka wakanifungulia ,ndo sababu ya invisible kuweka angalizo hapo juu.
Juzi juzi nlipata ban tena tulifagiliwa kama kumbi kumbi na nlikuwa katikati ya mtongozo wa maana sana sema ban za siku hizi mda mfupi sana unahesabu masaa zamani ilikuwa mwezi.
asee dada angu si kwenye uzi huu huu ile day wakanilima tena BAN ya siku tatu ndio imeisha hapa
 
mkuu nilirudishwa tena gerezani BAN ndio nimetoka now naona quote yako

kijana ema baada ya kuleta uzi anaomba msaada na kupewa msaada sasa juzi kati akaja na Uzi anajiita CIA agent alafu anajibu shit watu waliompa msaada anasema ile post ya kuomba msaada alikuwa yupo undercover na ni mtego na kazi yake ameshamaliza
Ahaaaa kumbe so uzi upo au ushafutwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom