Jumanne ijayo Rais Uhuru atazindua SGR ya mizigo itakayopeleka mizigo katika ICD ya Naivasha.

Jumanne ijayo Rais Uhuru atazindua SGR ya mizigo itakayopeleka mizigo katika ICD ya Naivasha.

Hahahaha, mnaishi kwa matumaini kama wagonjwa wa UKIMWI
1)Uganda ilionyesha interest ya kupitisha bomba la Mafuta Kenya
2)Ethiopia ilionyesha interest ya kutumia Lamu port
3)Rwanda ilionyesha interest ya kuunganisha reli ya Kenya
4)Uganda ilionyesha interest ya kuunganisha SGR na Kenya.
5) Mlionyesha interest ya kujenga "green field terminal
6)Mlionyesha interest ya mradi wa " one lap top per child"
7) Mlionyesha interest ya kuweka UMEME ktk SGR yenu by May 2020
8)Mlionyesha interest ya kujenga "Oil refinery"
9)Mlionyesha interest ya kujenga bomba lenu la mafuta baada ya Uganda kuwakimbia
10)Interest, interest, interest, interest

Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Please go back and read my comment carefully, I am not interested in your juvenile and idiotic arguments.
 
Hahahaha, hahahaha, stupid day dreamer.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hmmm, projects that have started and are being built as we speak. Who is daydreaming? Here is something you can do with your head since it is clearly impervious to facts and reason, stick it up your a-hole and suck it. Kenya is moving ahead turbo charged.
 
Kumekuchaaaa!!! Wapiga makelele wamekwama kwa kasafu ka kilomita 200km wakati sisi tanachezea kwenye karibu kilomita 700km za SGR.
Hiyo ICD kuunga kwenye SGR ni game changer.

Nyinyi au China?
 
Nyinyi au China?
Bila Wachina hii Afrika ingekwama, tunawashukuru sana, na mtaumia sana ila ndio kama hivyo, Mturuki anawalisha matango pori huko, kasafu ka km 200 sijui bado anachimba chimba nini huko.
 
Bila Wachina hii Afrika ingekwama, tunawashukuru sana, na mtaumia sana ila ndio kama hivyo, Mturuki anawalisha matango pori huko, kasafu ka km 200 sijui bado anachimba chimba nini huko.

Acha upotoshaji, Tz hatutegemei wachina ndio maana tuna jeuri ya kuwaonesha kidole cha kati na hawana la kutufanya, hii reli inayojengwa hapa ni ya kisasa tofauti na ya Kenya, Hiyo ya kenya haohao Wachina waliijenga hapa Tz miaka ya 70s,
Reli ya umeme yenye uwezo wa km 160km/hr ni lazima kujenga kwa ustadi wa hali ya juu.
 
Aliyewajengea tazara ni nani
Acha upotoshaji, Tz hatutegemei wachina ndio maana tuna jeuri ya kuwaonesha kidole cha kati na hawana la kutufanya, hii reli inayojengwa hapa ni ya kisasa tofauti na ya Kenya, Hiyo ya kenya haohao Wachina waliijenga hapa Tz miaka ya 70s,
Reli ya umeme yenye uwezo wa km 160km/hr ni lazima kujenga kwa ustadi wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upotoshaji, Tz hatutegemei wachina ndio maana tuna jeuri ya kuwaonesha kidole cha kati na hawana la kutufanya, hii reli inayojengwa hapa ni ya kisasa tofauti na ya Kenya, Hiyo ya kenya haohao Wachina waliijenga hapa Tz miaka ya 70s,
Reli ya umeme yenye uwezo wa km 160km/hr ni lazima kujenga kwa ustadi wa hali ya juu.
Reli ya 160 km/h na reli yenyewe ina urefu wa 200 km. Kweli Waafrika tuna mchezo sana
 
Reli ya 160 km/h na reli yenyewe ina urefu wa 200 km. Kweli Waafrika tuna mchezo sana
Hahahaha, muungwana akivuliwa nguo huchuchumaa, ukiendelea kusimama utadhalilika.
1)Dar - Moro (300Km)
2)Moro - Makutopora(400Km)
3)Hii ni Electric, high speed, full automatic and continuous welded rail.
4) Full paid by GoT, sio mkopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, muungwana akivuliwa nguo huchuchumaa, ukiendelea kusimama utadhalilika.
1)Dar - Moro (300Km)
2)Moro - Makutopora(400Km)
3)Hii ni Electric, high speed, full automatic and continuous welded rail.
4) Full paid by GoT, sio mkopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nangoja kwa hamu vichwa vya treni na EMU ziingie, lazma wanywee!
 
Hahahaha, muungwana akivuliwa nguo huchuchumaa, ukiendelea kusimama utadhalilika.
1)Dar - Moro (300Km)
2)Moro - Makutopora(400Km)
3)Hii ni Electric, high speed, full automatic and continuous welded rail.
4) Full paid by GoT, sio mkopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Reli ambayo inajengwa kwa sasa ni hiyo ya 200 km. 😂😂😂🤣🤣
 
Watu wa kilomita mia mbili wanatupigia makelele hata hatuwezi kupumua.
 
Majina yenu yanafurahisha. Eti Ndugu Masanja Kungu Kadogosa. Wapi jina lake la kikristiano au kiislamu.

Hahaha, Jinga sana wewe, ulitaka aitwe Nicholas Biwott? Majina ya Wazungu kuliko hata wazungu wenyewe.
 
Back
Top Bottom