Kaka, kakaa.....nikjona jnabamisha ambulance za ofisi ya rais, nakuangalia tu...unasogezea Mapambano....Wahudumu wa pale wanatoa sana ushurikiano kwa wakware...
Ila mi si mmoja wao....
Tatizo lako nawe mke wangu ni mshamba sana hata kitimoto huliolallaaaa! mate ya hamu hayoooo
Kukojoa first mkuuUnaelekea wapi mkuu?
Hicho ndo kitu cha kuanzisha uz hapa acha mambo yako bas
Ivi nyie watu wa dar nan aliyewaloga si wa kike wala wa kiume
Ngoja makao makuu yarud dom mnyoke
watu wa dar mna matatizo sana
Kwahyo upo nanani hapo, kama vipi nielekeze nije nichafue meza kuna laki2 haina kazi hapaEti eeeeh. Wacha nifanye hivyo. Sema dj mwenyewe handsome balaa halafu anaonekana mchicha mwiba
Utie manukato unukie