Jumapili iliyopita mke wangu ameniadhirisha mno kanisani

Jumapili iliyopita mke wangu ameniadhirisha mno kanisani

'
1657230484-picsay.jpg
 
Mkuu kanisa ni hekalu takatifu, sehemu inayohitaji unyenyekevu, kwanza kitendo Cha kuwa na earphones masikioni wakati ibada inaendelea, inaonesha ni jinsi gani hauko serious.

Na pia kitendo Cha kufanyiana utani wa kimahaba huku mmempakata G wenu mnaonesha jinsi mlivyo watupu kichwani.

Anyway labda iwe chai kama baadhi ya comments zinavyodai
 
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.

Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.

Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi? Hovyo kabisa!
Hahahh sasa mkuu ni hicho tu mpaka umeleta uzi hapa inaonekana umechukia kweli kweli eniwei sio mbaya sikuizi hata wachungaji wakitoka makanisani majumbani mwao huwa wanafungulia rege.
 
Mkuu kanisa ni hekalu takatifu, sehemu inayohitaji unyenyekevu, kwanza kitendo Cha kuwa na earphones masikioni wakati ibada inaendelea, inaonesha ni jinsi gani hauko serious.

Na pia kitendo Cha kufanyiana utani wa kimahaba huku mmempakata G wenu mnaonesha jinsi mlivyo watupu kichwani.

Anyway labda iwe chai kama baadhi ya comments zinavyodai
Rudia kusoma!
 
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.

Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.

Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi? Hovyo kabisa!
Mungu akitaka kukuponya hutumia njia yeyote kukuponya, sasa upo kanisani upo bize na airphone za nini. utamwona mke wako amekukosea sana ila kabla hujatazama boriti lililo kwenye jicho la mke wako, ng'oa kwanza la kwako. Mke wako amekuponya hutorudia hilo tena, ulipaswa kumshukuru, na kama hutomshukuru leo, utamshukuru kesho.
 
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.

Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.

Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi? Hovyo kabisa!
We nae ww kama ulikua unataka kusikiliza pesa madafu si ungeenda baa au club..... Mke wako kakupa funzo mchukie usimchukie aibu kwako
 
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.

Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.

Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi? Hovyo kabisa!
Ahahaha nimecheka sana "Hovyo kabisa"
 
Tatizo una pesa ya madafu ungekuwa na hela asingekufanyia hvyo.
 
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.

Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.

Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi?

Hovyo kabisa!
Kama ulijua ni udhalilishaji wewe ulienda kusikilizia kanisani ili iweje
 
Back
Top Bottom