Jumapili tarehe 18, November 2018 Kocha Amunike wa Taifa Stars asiponipangia hiki Kikosi ninachokiamini basi ni bora tu tufungwe na tukose AFCON

Ulimwengu Hana tofauti na Lukaku, poor lukaku poor ulimwengu!
 

Nilikuwa ' naupiga ' Veron mwenyewe alikuwa anasubiri Mkuu. Nikipangwa Beki au wa Kushoto utanipenda na nikisimamishwa Beki wa Kati namba Nne ndiyo ' balaa ' na Utamu zaidi nikiambiwa ' nikichafue ' kabisa nicheze Kiungo cha Ukabaji Timu nzima itatembea hadi raha Mkuu. Sema tu niliendekeza mno ' Mbunye ' halafu na mambo ya Elimu nayo yalinibana sana huku ' Wazazi ' nao wakikazia nisome. Na kama kuna Mchezaji ambaye alinifanya niijue vyema Kuicheza hiyo namba na mara kwa mara nilikuwa nikimuiga basi alikuwa ni Rafiki yangu na Mchezaji wangu ninayempenda na kumkubali sana na Nahodha wa Kihistoria ndani ya Klabu ya Simba Kaka Suleiman Abdallah Matola a.k.a Mzambia a.k.a Veron.
 
Kichuya na ulimwengu toa
Weka chilunda
 
Mtoe salum abubakar weka ndani dilunga toa nje ulimwengu sukumizia ndani shabani Chilunda.
 
Hivi Stars wanaenda kwa basi Lethoto? Maana nimeiona gari yao hapa Mwanjelwa imebeba wachezaji......si watafika hoi.
 
Shabiki anataka apangiwe kikosi chake, sijui kila shabiki akipanga kikosi chake itakuwaje

Alipoudhi zaidi huyo Ndugu ni pale aliposema kama kikosi hicho cha kawke hakitapangwa basi ni bora Tanzania ifungwe...anyway sikushangaa kwa kauli hii na hasa ukizingatia kauli zake humu JF
 
Alipoudhi zaidi huyo Ndugu ni pale aliposema kama kikosi hicho cha kawke hakitapangwa basi ni bora Tanzania ifungwe...anyway sikushangaa kwa kauli hii na hasa ukizingatia kauli zake humu JF
labda ubaya ni kusema kikosi chake pendekezwa kisipo pangwa hatoishangilia star, but kupendekeza kikosi ni jambo zuri maana tumewaachia makocha miaka mingi sana watupangie kikosi lakin hakuna mafanikio yoyote.
 
....Manula,Kapombe,Gadiel,Yondani,Morris,Erasto,Mkude,Feisal,Msuva,Bocco,Ulimwengu..wacheze 4-3-3
 
toa Gadiel weka tshabalala,toa ulimwenhu kiwango chake kimeisha sana weka ibrahim ajib
 


UNAPOELEKEA UTAMPANGIA NA MALAYA WA KUTEMBEA NAE HUYU NDIE HUYU SIE

KAZIKAZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…