This is what we call life on earth💗💗💗Umeamka alfajiri umeingia kwenye nyumba ya ibada...hasa ibada ya kwanza kabla ya joto...
Halafu mfukoni una kiasi kidogo cha fedha angalau kununua nyama..kwa maisha yetu nyama tunakula jumapili tu.
Baada ya kununua nyama unarejea nyumbani msosi unaandaliwa....nachukua kiradio changu pamoja na mkeka, natandika chini ya mti wa muembe pembeni nina dumu langu la mbege na enjoy upepo mwanana unaopoozwa na matawi ya migomba.....halafu ninasikiliza nyimbo za noten za Kwaya Kuu.
View: https://youtu.be/rJ2pwxpZzGM?si=kSQnFMXU78gdZuUSHapo VP
Hivi sisi wanaume huwa hatuwavurugi wake zetu hadi washindwe kusali? Naona kila siku ni visa vya wanawake kuvuruga wanaume tuu.Itakuwa mke wako hajakuvuruga kichwa akikikuvuruga hata kusali unasahau🤣
Alafu mbege unaizimua kidogo na Nyagi kubwaUmeamka alfajiri umeingia kwenye nyumba ya ibada...hasa ibada ya kwanza kabla ya joto...
Halafu mfukoni una kiasi kidogo cha fedha angalau kununua nyama..kwa maisha yetu nyama tunakula jumapili tu.
Baada ya kununua nyama unarejea nyumbani msosi unaandaliwa....nachukua kiradio changu pamoja na mkeka, natandika chini ya mti wa muembe pembeni nina dumu langu la mbege na enjoy upepo mwanana unaopoozwa na matawi ya migomba.....halafu ninasikiliza nyimbo za noten za Kwaya Kuu.
View: https://youtu.be/rJ2pwxpZzGM?si=kSQnFMXU78gdZuUSHapo VP
Hii ndio pure lifeUmeamka alfajiri umeingia kwenye nyumba ya ibada...hasa ibada ya kwanza kabla ya joto...
Halafu mfukoni una kiasi kidogo cha fedha angalau kununua nyama..kwa maisha yetu nyama tunakula jumapili tu.
Baada ya kununua nyama unarejea nyumbani msosi unaandaliwa....nachukua kiradio changu pamoja na mkeka, natandika chini ya mti wa muembe pembeni nina dumu langu la mbege na enjoy upepo mwanana unaopoozwa na matawi ya migomba.....halafu ninasikiliza nyimbo za noten za Kwaya Kuu.
View: https://youtu.be/rJ2pwxpZzGM?si=kSQnFMXU78gdZuUSHapo VP
Ukiwa na hela halafu huzimui kidogo ni mateso sana, namkubali sana mzee wa bapa, mzee wa upako mch Lusekelo akaona isiwe tabu kwani wapi kàtika Bible pameandikwa bapa ni dhambi?Alafu mbege unaizimua kidogo na Nyagi kubwa
Ukitwanga hii kitu ukiwa na stress + njaa; baada ya nusu saa utawaona watu wengine wote ni wajinga isipokuwa ww.Alafu mbege unaizimua kidogo na Nyagi kubwa
Hivi sisi wanaume huwa hatuwavurugi wake zetu hadi washindwe kusali? Naona kila siku ni visa vya wanawake kuvuruga wanaume tuu.
Mara ghafla ukiwa imetulia, anatokea mchepuko wako anakuletea zogo, umpe hela ya matumizi, siku tatu zote umempiga block kwenye simu yakeUmeamka alfajiri umeingia kwenye nyumba ya ibada hasa ibada ya kwanza kabla ya joto.
Halafu mfukoni una kiasi kidogo cha fedha angalau kununua nyama..kwa maisha yetu nyama tunakula jumapili tu.
Baada ya kununua nyama unarejea nyumbani msosi unaandaliwa. Nachukua kiradio changu pamoja na mkeka, natandika chini ya mti wa muembe pembeni nina dumu langu la mbege na enjoy upepo mwanana unaopoozwa na matawi ya migomba halafu ninasikiliza nyimbo za noten za Kwaya Kuu.
View: https://youtu.be/rJ2pwxpZzGM?si=kSQnFMXU78gdZuUSHapo VP