Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tunajadiliana na kueleweshanahahahahahha mimi stort temper siwez bishana napata hasira haraka....nikiona kuna dalili za kubishana nakaa zangu kimya
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Amen sisyWe dada nimekupenda bure! ebu kunywa Pepsi big apo ukimaliza lipia, afu sepa[emoji1787] You have spoken it all..
Sema watu wanajisahau Sana!
Hawajui kuwa siku ya mwisho tutatolea hesabu kila neno litokalo katika vinywa vyetu..
Amefanyaje?Cheki huyu kondooo,
Ndio hapo sasa asee sikujua hadi kwenye huu uzi... Tupeane tu connection kama zipoDaaahhh ungenishtua mzee baba ningekuconnect. Mimi niliacha mwenyewe tu sijafukuzwa
Hakika hata nikiiona sitaamini hadi nione Baba Askofu akituwekea hati yenye jina Askofu Mkuu Zakaria Kakobe! Yaani hapa ni mwendo wa utomaso kama haters wa Zari walipokuwa wanataka ushahidi wa DNA kuthibitisha kwamba kweli watoto wa Diamond!!Nilikujibu kuwa umewekewa na picha bado kwako haijakutoshea.. so ewe tomaso uende ukaione mwenyewe.
Namwachaje kwa mfano?! Yaani nimeacha kanisa langu kwa ajili yake halafu apone?! In short nilimla hadi nikamkinai, na ilibidi kidogo tu tufunge ndo lakini tukapishana hapo hapo kwenye kanisa huku akitaka niwe Mlokole wakati ule ulikuwa Ulokole wa kujifanya tu!Uliishia wapi? Ukamla ukatembea au alikukazia mazima? [emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namwachaje kwa mfano?! Yaani nimeacha kanisa langu kwa ajili yake halafu apone?! In short nilimla hadi nikamkinai, na ilibidi kidogo tu tufunge ndo lakini tukapishana hapo hapo kwenye kanisa huku akitaka niwe Mlokole wakati ule ulikuwa Ulokole wa kujifanya tu!
Atubu asitubu, shauri yake, nishakula vyangui, basi! Kijana damu moto na kuokoka wapi na wapi!! Si kujitafutia madhambi bure tu!! Ndo maana sie wengine tunasema kuokoka sawa lakini subiri tuzeeke zeeke kidogo, tena hapo bible tutakuwa tunaisoma kwa kutulia![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dooh alitubu sasa? We unammega mwanakondoo kabisa ...
Kalumbu?? Hii lugha kama naielewa hahahaJamani Kalumbu [emoji23][emoji23][emoji23]
Unanionea[emoji1787]
Hahah!Kalumbu?? Hii lugha kama naielewa hahaha