Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Mimi ninawafahamu watu kadhaa wanasali hapo kanisani kwake na ni matajiri hatari

Kuishi kitajiri kwa namna yoyote ile si dhambi.
Ingekuwa dunia inafuata hayo mawazo yako basi tungekuwa nyuma sana
... ishi kadiri ya uwezo wako


Ulitaka usikie wapi??sadaka ni siri na Aonaye sirini(Mungu) ndiye anayeona

Wewe unataka uone kama nani??si lazima uone.

Halafu Kakobe alikudanganya nini?
Hebu weka wazi hapa tujadili.
Kuishi kitajiri kwa expense ya waumini ni sawa?
 
Mimi ninawafahamu watu kadhaa wanasali hapo kanisani kwake na ni matajiri hatari

Kuishi kitajiri kwa namna yoyote ile si dhambi.
Ingekuwa dunia inafuata hayo mawazo yako basi tungekuwa nyuma sana
... ishi kadiri ya uwezo wako


Ulitaka usikie wapi??sadaka ni siri na Aonaye sirini(Mungu) ndiye anayeona

Wewe unataka uone kama nani??si lazima uone.

Halafu Kakobe alikudanganya nini?
Hebu weka wazi hapa tujadili.
Anyway, wewe kuna watu unawajua. Mimi nimesali mpaka makanisa ya nyumbani ya hilo kanisa.
 
Kuishi kitajiri kwa expense ya waumini ni sawa?
Kwa expense ya waumini kivipi??
Alienda mdhulumu yeyote hela??

Unajua nini kuhusu sadaka kwa ajili ya makundi maalumu?
-Wahitaji
-Watumishi wa Mungu

Unaelewa chochote kuhusu hayo makundi??

Kabda hatujaendelea kujadili hilo nashauri tujifunze kwanza haya masomo.
 
Anyway, wewe kuna watu unawajua. Mimi nimesali mpaka makanisa ya nyumbani ya hilo kanisa.
Hao ninaokwambia wanasali hilo lililoko dar yaani aliko huyo Kakobe, achilia wale wanaosali kwenye matawi yake yaliyopo karibu tz nzima.
 
Hao ninaokwambia wanasali hilo lililoko dar yaani aliko huyo Kakobe, achilia wale wanaosali kwenye matawi yake yaliyopo karibu tz nzima.
Makanisa ya nyumbani ya kwa Kakobe unayajua yanafanyikaje ??
 
Wapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Maisha miongoni mwa binadamu hayawezi kulingana. Hata akisema awagawie waumini wake wote hela za kujengea nyumba hiyo, pengine hawawezi kununua hata godoro la 6x6
 
Hiyo jumba mbona limebabatizwa mbele ukiingia getini tu upo kwenye mlango wa nyumba ilibidi irudi nyuma mbele kuwe na Reserve Area za bustani, swimming, pavements
 
hhahahaa kalumbu unanifurahishaga hapo tuu.....unajua kupambana


siku ya wanawake lini nikupost.....leo umekua haji manara wa mtumishi kakobe

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya wanawake sijui tar ngapi
Ikifika nipost Kalumbu.

Unajua kuna watu huwa wanapenda sana kuongea ongea pasi hata na kuonyeshwa na Roho wa Mungu na maneno ya namna hiyo yana gharama zake.

Mtu analala anaamka amesikia Kakobe hivi na hivi,basi naye anaunga tera oh Kakobe hivi ..wengi tu humu hata kwenda kusali kwake hawajawahi,namna alivyofanikiwa hawajui ila wapo humu kuropoka !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya wanawake sijui tar ngapi
Ikifika nipost Kalumbu.

Unajua kuna watu huwa wanapenda sana kuongea ongea pasi hata na kuonyeshwa na Roho wa Mungu na maneno ya namna hiyo yana gharama zake.

Mtu analala anaamka amesikia Kakobe hivi na hivi,basi naye anaunga tera oh Kakobe hivi ..wengi tu humu hata kwenda kusali kwake hawajawahi,namna alivyofanikiwa hawajui ila wapo humu kuropoka !
Kandoo huyu mtiifu
 
Hakika mimi ni Tomaso! Bwana Mwokozi alisema "ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbinguni"!! Sasa unataka kusema Bwana wetu mwokozi alitupiga changa la macho, au ni hawa mitume wetu ndio hawalifuati neno la Mwokozi?!
Wamekosea hapo waliobadili lugha camel pale ni kamba na si ngamia
 
Kwa expense ya waumini kivipi??
Alienda mdhulumu yeyote hela??

Unajua nini kuhusu sadaka kwa ajili ya makundi maalumu?
-Wahitaji
-Watumishi wa Mungu

Unaelewa chochote kuhusu hayo makundi??

Kabda hatujaendelea kujadili hilo nashauri tujifunze kwanza haya masomo.
Hatuwezi kutoa sadaka ili mtumishi aishi maisha ya kifahari yaliyopitiliza kwa sadaka zetu..huu ni utapeli.

Ndo maana Wasabato na Waislamu wanaonekana ni watu wanaojielewa when it comes to mambo ya imani.
 
Hatuwezi kutoa sadaka ili mtumishi aishi maisha ya kifahari yaliyopitiliza kwa sadaka zetu..huu ni utapeli.

Ndo maana Wasabato na Waislamu wanaonekana ni watu wanaojielewa when it comes to mambo ya imani.
Kuna mtu alikulazimisha kutoa sadaka huko??
Unajua sadaka kila mtu anatoa kulingana na Roho anavyomsukuma ndani,wewe unaweza usisikumwe kutoa huko lakini wengine wakasukumwa kutoa huko..kwahiyo kila mtu na jinsi anavyoguswa..huwezi kumpangia mtu atoe sehemu fulani na umeshaambiwa walihimizana kwa hiari kufanya hivyo..kwanini wewe uumie??

Bado hujanijibu swali langu..
Somo kuhusu sadaka kwa makundi maalumu unalijua??
 
Kuna mtu alikulazimisha kutoa sadaka huko??
Unajua sadaka kila mtu anatoa kulingana na Roho anavyomsukuma ndani,wewe unaweza usisikumwe kutoa huko lakini wengine wakasukumwa kutoa huko..kwahiyo kila mtu na jinsi anavyoguswa..huwezi kumpangia mtu atoe sehemu fulani na umeshaambiwa walihimizana kwa hiari kufanya hivyo..kwanini wewe uumie??

Bado hujanijibu swali langu..
Somo kuhusu sadaka kwa makundi maalumu unalijua??
Hawajalazimishwa ila waumini wengi wamekuwa brainwashed..Mimi najielewa na siwezi kwenda kusali kwa hawa watu na kama ni sadaka basi nitampa asiyejiweza.

Eti mpe Mungu sadaka ili uendelee kufanikiwa,then wao wanaenda kutumia sadaka hizo kwenye ishu personal na sio hata za kukuza kanisa.

Hilo soma la sadaka inabidi liwekwe wazi sasa,kuwa tunatoa sadaka ili mtumishi aweze kuishi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya wanawake sijui tar ngapi
Ikifika nipost Kalumbu.

Unajua kuna watu huwa wanapenda sana kuongea ongea pasi hata na kuonyeshwa na Roho wa Mungu na maneno ya namna hiyo yana gharama zake.

Mtu analala anaamka amesikia Kakobe hivi na hivi,basi naye anaunga tera oh Kakobe hivi ..wengi tu humu hata kwenda kusali kwake hawajawahi,namna alivyofanikiwa hawajui ila wapo humu kuropoka !
nakuelewa st Annie ingawa mambo ya dini haya sipo deep kivile ila nimekuelewa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom