Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

We dada nimekupenda bure! ebu kunywa Pepsi big apo ukimaliza lipia, afu sepa[emoji1787] You have spoken it all..

Sema watu wanajisahau Sana!
Hawajui kuwa siku ya mwisho tutatolea hesabu kila neno litokalo katika vinywa vyetu..
Amen sisy
 
Nilikujibu kuwa umewekewa na picha bado kwako haijakutoshea.. so ewe tomaso uende ukaione mwenyewe.
Hakika hata nikiiona sitaamini hadi nione Baba Askofu akituwekea hati yenye jina Askofu Mkuu Zakaria Kakobe! Yaani hapa ni mwendo wa utomaso kama haters wa Zari walipokuwa wanataka ushahidi wa DNA kuthibitisha kwamba kweli watoto wa Diamond!!
 
Uliishia wapi? Ukamla ukatembea au alikukazia mazima? [emoji28]
Namwachaje kwa mfano?! Yaani nimeacha kanisa langu kwa ajili yake halafu apone?! In short nilimla hadi nikamkinai, na ilibidi kidogo tu tufunge ndo lakini tukapishana hapo hapo kwenye kanisa huku akitaka niwe Mlokole wakati ule ulikuwa Ulokole wa kujifanya tu!
 
That monstrous behemoth is architecturally bereft of character.
 
Namwachaje kwa mfano?! Yaani nimeacha kanisa langu kwa ajili yake halafu apone?! In short nilimla hadi nikamkinai, na ilibidi kidogo tu tufunge ndo lakini tukapishana hapo hapo kwenye kanisa huku akitaka niwe Mlokole wakati ule ulikuwa Ulokole wa kujifanya tu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dooh alitubu sasa? We unammega mwanakondoo kabisa ...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dooh alitubu sasa? We unammega mwanakondoo kabisa ...
Atubu asitubu, shauri yake, nishakula vyangui, basi! Kijana damu moto na kuokoka wapi na wapi!! Si kujitafutia madhambi bure tu!! Ndo maana sie wengine tunasema kuokoka sawa lakini subiri tuzeeke zeeke kidogo, tena hapo bible tutakuwa tunaisoma kwa kutulia!
 
Kama unampa mtu sadaka yako na anaenda kula yeye na mkewe ,hayo ndio madhara .Huku waumini wakisubiri daladala tena hawajala kitu .Mjini shule
 
Sasa kama ana mahali pa kuvuna kwanini asitumbue maisha[emoji23]
 
una uhakika ? cyber crime inakuhusu muda wowote toka sasa,watu mnatumia vibaya mitandao halafu mkikamatwa amnalialia
 
Back
Top Bottom