Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Mi kinachoniboa mikusanyiko ya kidini kila sku ni michango ya sadaka tuuu, hata neno la maana hamna , na sadaka zenyewe Bora ingekuwa zinaenda hata kwenye mahubir watu wamjue Mungu , ni michango ya vikao vya wachungaji wapeane posho , mara nyumba ya mchungaji , mara sjui idara ya Wana wa kike yaan usanii sanii mtupu..... Viongozi wa kidini wengi washakuwa wanasiasa ..... swaga za kifarisayo Sana , .....mi bhana madam biblia ipo inatosha kabisa , sa hv nitatoa hela yangu kama kuna mtu anahtaji kwenda kuhubiri na sio kumnunulia gari mtu
Heheh pole chief. Tusimuasi Mungu, Yeye aweza kutuokoa na wafilisti na majitu. Naam, kuwekeza kujifunza kwa kufundishwa na Roho wa Mungu na ufunuo wa Kristo kwafaa mno. Gal 1:10-12. Siku hizi dini/madhehebu imekuwa biashara kama biashara nyinginezo chief.
 
Yesu akirudi kuwaona hawa wanaojiita manabii maisha wanayoishi, sambamba na yeye maisha alivyoishi. Atajikuta anacheka mwenyewe tu.

Maana atakutana na huyu Nabii anaishi kama mfalme, mara yule Nabii kamlaza kondooo kifo cha mende, sijui nani nani Nabii kafumaniwa na mke wa mtu, Nabii Rashidi kaiba kura (Nabii Mwizi). Hatari na nusu.
Umenikumbusha kitabu cha "THE TRIAL OF BROTHER JERO" cha Wole Soyinka
 
Kumbe hilo somo wewe unalijua hivyo?
Kama unalijua hivyo basi umepotea.


Kama jinsi wewe unavyoguswa sehemu ya wahitaji ,unavyotoa sadaka kwa wasiojiweza vivyohivyo mtu mwingine anaguswa sehemu nyingine kutoa sadaka yake..
Kwahiyo usitake kupangia mtu mahala pa kutoa sadaka..na usiseme mtu hajitambui kwa kutoa sadaka huko.
Una uhakika umeongea na Mungu akakuambia hao watu wako brainwashed??labda Roho wa Mungu amekuonyesha mwenzetu.
Pale juu nimesema mimi nawajua watu wanasali huko na ni matajiri..kanisani kuna kila aina ya watu.


Mwisho nikwambie umasikini siyo sifa na ukiona una mawazo ya kutaka kila mtu aishi kimasikini basi jua una shida sehemu.
Mungu alikuumba ili utawale

Tuanze kwanza na somo la sadaka,inaonyesha haulijui.
Unatia porojo tu,inabidi tuende kwenye Biblia Sasa.
Mkuu unatumia Nguvu Kubwa- mno kuhalalisha huu utapeli wa Hawa manabii feki.

Nauita utapeli maana tapeli hakulazishi kabisa kutoa pesa na pesa unaitoa mwenyewe.

Ila mwisho wa siku hatoibadili tasfiri ya neno utapeli kua Ni KUJIPATIA PESA KWA NJIA ZA UDANGANYIFU
 
Mkuu unatumia Nguvu Kubwa- mno kuhalalisha huu utapeli wa Hawa manabii feki.

Nauita utapeli maana tapeli hakulazishi kabisa kutoa pesa na pesa unaitoa mwenyewe.

Ila mwisho wa siku hatoibadili tasfiri ya neno utapeli kua Ni KUJIPATIA PESA KWA NJIA ZA UDANGANYIFU
Alikudanganya nini?
 
Wapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Acha mawazo mgando wewe!!!
Ukiwa na duka wateja wakiwa wengi na kutengeneza faida ndo uogope kufanya mambo yako kisa tu itaonekana una maisha mazuri kuliko wateja wako?

Na hujuilizi tu,kwanini tunaaminishwa Mungu ndo kila kitu lakini yatupasa kutoa sadaka na zaka?
Kwanini wanatuombea ila mwisho wa siku wataangalia tumeweka nini kwenye box la sadaka?

Dini ni biashara,so ikilipa matokeo yake ndo hayo.
 
Ila waumini wake hata kulipa kodi ya chumba kimoja cha kupanga cha giza, Tsh 20,000 kwa mwezi huko Buza kwa mama kibonge hawawezi.
Ni ngumu kuweza coz,fikiria,wewe huna hata 100,lakini umeweza kuorganize watu wakakupa kidogokidogo ukapata elfu 50. Kwavyovyote,wewe utakua na hela,ila wale walokuchangia bukubuku yawezekana akawa amebaki na zero,au jero.
So kwa vyovyote anaekusanyiwa lazima awe nazo.

We unasema chumba,yawezekana kuna wanaokufa njaa,lakini mchungaji au askofu lazima apate sadaka yake Mkuu.
 
.
FB_IMG_1622660237969.jpg
 
Kiukweli mi naamin Mungu yupo Ila hawa wanaojiita manabii na mitume / wachungaji wa makanisa na maaskofu wengi wanamuwakilisha Mungu isivyo , ...wamebase Sana kwenye kutoa Mali uwape , na kujilimbikizia huku waumini wakibaki stressed na ufukara wa kutupwa ..... Aiseee mi Kwa vile naifahamu biblia so najua uhusiano wangu na Mungu anataka nini , hawa watu sio wazur sana ..... Madam Mungu ashatupa vitabu vya dini is better tukatafta uhusiano wetu na yeye privately , ...... Hawa watu wengi wao sio wazur
Ulichoandika hapa, Yesu alikisema kuhusu Mafarisayo na Walimu wa sheria. Soma Mathayo sura ya 23 na 24.
 
Mungu kamwinua....nawe mtumikie bwana ...utafanikiwa zaidi
 
Acha mawazo mgando wewe!!!
Ukiwa na duka wateja wakiwa wengi na kutengeneza faida ndo uogope kufanya mambo yako kisa tu itaonekana una maisha mazuri kuliko wateja wako?

Na hujuilizi tu,kwanini tunaaminishwa Mungu ndo kila kitu lakini yatupasa kutoa sadaka na zaka?
Kwanini wanatuombea ila mwisho wa siku wataangalia tumeweka nini kwenye box la sadaka?

Dini ni biashara,so ikilipa matokeo yake ndo hayo.
Mboba unatoa mfano wa kipuuzi, ilo duka majirani wamekusaidia mtaji.
 
Mboba unatoa mfano wa kipuuzi, ilo duka majirani wamekusaidia mtaji.
Kwani na nyie Kakobe mlimsomesha?
Mlimpa nyie wazo la kuanzisha kanisa?
Huwa mnaisadia kuingiza ibada?
Huwa mnamsaidia kuhubiri?
Alishawahi kuwafuata majumbani muende kanisani kwake?
Alishawahi kuwakaba mtoe sadaka?
Mliwahi kumsaidia kujenga kanisa?

Huo ndo mtaji wake kama ulivyo kwa mwenye duka.
Acha wivu wa kike,pambana na hali yako.
Tuliza hasira kwenye maendeleo ya wenzio,vinginevyo stress zitakuua Dunya wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom