kweli hata Haleluya,Waka Diamond ameiga pia....Vichwa vya wasafi group kwa sasa vimejaa starehe tu na vinafikria ngono na pombe. Hawawezi kujishughulisha kutunga tena wimbo kwa kutumia vichwa vyao kama ilivyokuwa zamani. Alianza kubwa lao Diamond kudokoa na kurudia nyimbo za wasanii wengine ili kujipatia kipato, sasa hata wasanii walioko chini yake wameiga mtindo.
Na wao ni mwendo wa kurudiarudia nyimbo za wasanii wengine aka kuidokoa dokoa nyimbo za wengine
Jumbe amesema kuwa alifuatwa na timu ya wasafi wakiongozwa na Babu Tale na walikubariana na amekiri kulipwa vizuri ili Ray Van aweze kutuimba wimbo wake " Siri"
Wasafi punguzeni starehe LA sivyo mtapotea
Sio Muhogo wa Jang'ombe tu bali pia aliimba Siwema ya Marijani Rajabu.Mkuu mbona ni jambo la kawaida na ushukuru amelipwa. Jay D kwenye ubora wake aliimba Muhogo wa Jang'ombe wa bi kidude na hakuna aliepiga kelele sikumbuk kama alilipwa yule Bib
Ila kwenye Tasnia ya Music hilo ni jambo la kawaida sana kwa wanamuzik kurudia nyimbo za wanamuzik wa zaman kwa makubaliano maalumu na sio kuishiwa
Sio Muhogo wa Jang'ombe tu bali pia aliimba Siwema ya Marijani Rajabu.
Haleluya na wakawaka ameiga kwa nani tujuze na sisi tupate cha kuongea maskankweli hata Haleluya,Waka Diamond ameiga pia....
Mkuu huyu mtoa mada ni punguani, anawaonea wivu Wasafi kwa mafanikio yao. Hizi ndizo roho za kimasikini.Haleluya na wakawaka ameiga kwa nani tujuze na sisi tupate cha kuongea maskan
Mkuu mbona ni jambo la kawaida na ushukuru amelipwa. Jay D kwenye ubora wake aliimba Muhogo wa Jang'ombe wa bi kidude na hakuna aliepiga kelele sikumbuk kama alilipwa yule Bib
Ila kwenye Tasnia ya Music hilo ni jambo la kawaida sana kwa wanamuzik kurudia nyimbo za wanamuzik wa zaman kwa makubaliano maalumu na sio kuishiwa
kimasomaso ilikuwa project ya kusaga kipindi ambacho wasanii wengi walirudia ngoma za kale tuliza mshonoooo acheni kuigiza ngoma fanyeni kazi.Mtoa mada unasumbuliwa na wivu na umasikini. Watanzania tunakuwa na roho mbaya na roho ya korosho kwa waliofanikiwa.
Katika watu unaodai wanarudia nyimbo umewaona wasanii wa wasafi tu? Hivi mtu akisema waka waka utasema kaiba wimbo. Akisema Haleluya nayo kaiba wimbo?
We ni mpumbavu tu, kasikilize wimbo wa Ali Kiba ''Kimasomaso'' urudi hapa.
Wengine muziki wenyewe wamejulia ukubwani...Mkuu mbona ni jambo la kawaida na ushukuru amelipwa. Jay D kwenye ubora wake aliimba Muhogo wa Jang'ombe wa bi kidude na hakuna aliepiga kelele sikumbuk kama alilipwa yule Bib
Ila kwenye Tasnia ya Music hilo ni jambo la kawaida sana kwa wanamuzik kurudia nyimbo za wanamuzik wa zaman kwa makubaliano maalumu na sio kuishiwa
Vichwa vya wasafi group kwa sasa vimejaa starehe tu na vinafikria ngono na pombe. Hawawezi kujishughulisha kutunga tena wimbo kwa kutumia vichwa vyao kama ilivyokuwa zamani. Alianza kubwa lao Diamond kudokoa na kurudia nyimbo za wasanii wengine ili kujipatia kipato, sasa hata wasanii walioko chini yake wameiga mtindo.
Na wao ni mwendo wa kurudiarudia nyimbo za wasanii wengine aka kuidokoa dokoa nyimbo za wengine
Jumbe amesema kuwa alifuatwa na timu ya wasafi wakiongozwa na Babu Tale na walikubariana na amekiri kulipwa vizuri ili Ray Van aweze kutuimba wimbo wake " Siri"
Wasafi punguzeni starehe LA sivyo mtapotea
Kweli kabisa mkuuSa hivi ukisikia WCB wanarelease ngoma mpya hamna hata ile hamu ya kusubiri kusikiliza wameimba nini
No creativity at all