Vichwa vya wasafi group kwa sasa vimejaa starehe tu na vinafikria ngono na pombe. Hawawezi kujishughulisha kutunga tena wimbo kwa kutumia vichwa vyao kama ilivyokuwa zamani. Alianza kubwa lao Diamond kudokoa na kurudia nyimbo za wasanii wengine ili kujipatia kipato, sasa hata wasanii walioko chini yake wameiga mtindo.
Na wao ni mwendo wa kurudiarudia nyimbo za wasanii wengine aka kuidokoa dokoa nyimbo za wengine
Jumbe amesema kuwa alifuatwa na timu ya wasafi wakiongozwa na Babu Tale na walikubariana na amekiri kulipwa vizuri ili Ray Van aweze kutuimba wimbo wake " Siri"
Wasafi punguzeni starehe LA sivyo mtapotea
Na wao ni mwendo wa kurudiarudia nyimbo za wasanii wengine aka kuidokoa dokoa nyimbo za wengine
Jumbe amesema kuwa alifuatwa na timu ya wasafi wakiongozwa na Babu Tale na walikubariana na amekiri kulipwa vizuri ili Ray Van aweze kutuimba wimbo wake " Siri"
Wasafi punguzeni starehe LA sivyo mtapotea