Bidhaa zote unalipia ukishazipokea lakini kinachotokea ni kuwa watu wanaoleta bidhaa ni bodaboda au gari ambao wakifika wanakuachia kabla hujawasha wala kuikagua kama inawaka wanajifanya wako faster kuwahi wateja wengine lakini baada ya kuanza kuiwasha kuangalia tools zingine zinazohusia na hio product utakuta hamna ukiwapigia simu ndo hapo wanaanza mizinguo hadi leoKwani Jumia unalipia kabla ya kuiona bidhaa au baada ya kuiona bidhaa eti...?
Nyooo kwa akili zako ndo unafikiri hivyo siijui kampuni yoyote inayoshindana na jumia zaidi ya kupatana lakini kupatana hawauzi wao wanaouza ni wateja kwa wateja nako vitu ni vibovu vilevile
Kinachoniumiza zaidi ni pale ambapo wameniuzia bidhaa afu bidhaa yenyewe imekuja haina vitu vyote na nimewapigia simu sana lakini majibu wanayonipa ni ya kisengerema kweli na ni waongo haijapata kutokea nina document zao zote hapa nilipo nasubiri kuwaniga mahakamani maana wamenitia hasara tu
Nachotaka kusema dont trust online bussness bidhaa nzuri na halisi ni ile unayoenda kununua mwenyewe dukani
Kwanza picha ya bidhaa unayowekewa kwenye app yao na bidhaa jinsi ilivyo ni vitu viwili tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitake kujisafisha au unataka nikupe hadi recorded voice za hao wadada wanaojiita customer care na majina yao ndo uaminiHakuna cha bidhaa ya4m wala kuletewa bidhaa Wewe nikibaraka dona ulizopewa nawpinzani ndozinazo halibu halo yahewa namna hii kutumwa kubaya ndugu yangu fikiri kabla yakutenda
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleUsitake kujisafisha au unataka nikupe hadi recorded voice za hao wadada wanaojiita customer care na majina yao ndo uamini
Let say nani kanipa hicho kibarua mzee nina umaarufu gani mie wa kupewa hiko kibarua
Rudisheni hela zangu kama kweli hamtaki kuchafua hali ya hewa hela tunatafuta kwa jasho afu mnaleta shobo kwenye hela yangu kama ni watakatifu nirudishieni hela na mchukue vimeo vyenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Mtwara mkuu?Nikikumbuka nguo nikiyo order na nguo iliyokuja!!!
Hahaaaaaa
Afu kuna mpuuzi mmoja hivi anadai nimetumwaNikikumbuka nguo nikiyo order na nguo iliyokuja!!!
Hahaaaaaa
Bidhaa zote unalipia ukishazipokea lakini kinachotokea ni kuwa watu wanaoleta bidhaa ni bodaboda au gari ambao wakifika wanakuachia kabla hujawasha wala kuikagua kama inawaka wanajifanya wako faster kuwahi wateja wengine lakini baada ya kuanza kuiwasha kuangalia tools zingine zinazohusia na hio product utakuta hamna ukiwapigia simu ndo hapo wanaanza mizinguo hadi leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitarajia friji na pasi iwe na upungufu wa accessory zipi? Au wachomoe racks kwenye friji na pasi ichomolewe waya? Ushuhuda wako sio mkuu tutafutie bidhaa zenye accesoryMkuu pole sana, labda huo utapeli wameanza sikuhizi, ila Mimi kwa uzoefu wa kununua bidhaa zao,ziko Imara nilinunua friji na pasi mwaka jana mwanzoni mpka Leo zinapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hajielewi huyoUlitarajia friji na pasi iwe na upungufu wa accessory zipi? Au wachomoe racks kwenye friji na pasi ichomolewe waya? Ushuhuda wako sio mkuu tutafutie bidhaa zenye accesory
Sent using Jamii Forums mobile app
MImi binafsi naona fursa
Vipi earphone na protector mwenzangu zilikuwepo? kama zilikuwepo hongera mimi mwenzio majanga camera ya 1.7milion haina tools zoteMleta mada ni mwongo, mm nliagiza tablet na nimeipata jinsi ilivyo uzuri zaidi unalipa ukishaiiona bidhaa
Sent using Jamii Forums mobile app