Jumia ni kampuni ya kuishtaki tu kwa sababu wanapouza bidhaa zao huwa wanachomoa baadhi ya vifaa na vinafika vikiwa sio complete ukilinganisha na ungenunua dukani.
Pia ukijaribu kuwapigia katika namba zao mara hawapatikani mara huwezi kuunganishwa kwa sasa mara wakipokea wanakujibu ili mradi tu wanakufariji lakini nothing to help you mpaka saivi nina mabidhaa yao sina hamu nayo na nimenunua vitu more than 4 million kwao ila sioni wakinijali.
Mfano nilinunua camera haina memory na wakati huohuo wapo walionunua dukani ina memory na bei chini ya niliyonunulia mimi,na vingine vingi.
Sitaki hata kuwasikia hawa viumbe
JUMIA HATA KAMA NI UDALALI HATUFANYI HIVYO!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ukijaribu kuwapigia katika namba zao mara hawapatikani mara huwezi kuunganishwa kwa sasa mara wakipokea wanakujibu ili mradi tu wanakufariji lakini nothing to help you mpaka saivi nina mabidhaa yao sina hamu nayo na nimenunua vitu more than 4 million kwao ila sioni wakinijali.
Mfano nilinunua camera haina memory na wakati huohuo wapo walionunua dukani ina memory na bei chini ya niliyonunulia mimi,na vingine vingi.
Sitaki hata kuwasikia hawa viumbe
JUMIA HATA KAMA NI UDALALI HATUFANYI HIVYO!
Sent using Jamii Forums mobile app