Kenya 2022 Jumla ya ya kura za uRais Kenya ni 100.01%

Kenya 2022 Jumla ya ya kura za uRais Kenya ni 100.01%

Kenya 2022 General Election
Kuna estimation.

Mfanoo ruto alipata 50. 4899998. Iwe estimated to 50.49.
Na wengine na wengine..
Kupata margin error ya 0.01 ni kawaida..

Mitihani myema..
PCM...
Kwa wanasayansi + au - ni hatari sana, unaweza kusababisha ulemavu au kifo.
 
Wote mnaosema estimates basi hamjui hesabu.

kama ukitafuta % ya vitu kadhaa the highest precision should add up the 100% ukiwa unafanya round off to nearest decimal places inatakiwa ije 99.9999999 cause you reduced the precision otherwise anakosea.

mfano kwenye hii table at 3 d.p utaona inaongezeka to 100%
 
Kuna haja ya fani zote kusoma basic mathematics chuo kikuu! Makamishna wote waliojitoa wana masters degree eti. Can't imagine Mr Chebukati alivyokuwa anajitahidi kuwaelewesha mpaka wakaamua kuondoka...
Chibukati mitano tena Bila Kupingwa!
 
14,000,000 x 0.01= kura 140,000 ambazo hata akipewa Baba hashindi ng'ooo
 
14,000,000 x 0.01= kura 140,000 ambazo hata akipewa Baba hashindi ng'ooo
NA Wewe hesabu Zako za wapi..?? Hizo ukipata Hyo 140,000 unagawa Kwa 100, ndo utapta kura hao kamishanas my foot.. kwel hesabu si ya kila mtu. Kamishana mzima anajitutumua anasema ni kura 140,000/
 
NA Wewe hesabu Zako za wapi..?? Hizo ukipata Hyo 140,000 unagawa Kwa 100, ndo utapta kura hao kamishanas my foot.. kwel hesabu si ya kila mtu. Kamishana mzima anajitutumua anasema ni kura 140,000/
Hajui hata maana ya %...
Inaonekana kila mtu anazipenda hesabu,ni bahati sana Hesabu hazimpendi kila mtu,zina mapenzi kwa watu wachache saana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Raila Hakuwa serious alifikiri tayari ameshinda hata mwenendo wake wa kampeni ulikua wa kusua sua alijipanga kuiba Kura ikashindikana.
 
Hajui hata maana ya %...
Inaonekana kila mtu anazipenda hesabu,ni bahati sana Hesabu hazimpendi kila mtu,zina mapenzi kwa watu wachache saana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rud shule utachekwa bure hapa.

0.01%×14,213,027÷100% unapata ngap?
 
Kama kitu hii ikingia mahakamani ambopo jina lako ukikosea tu helufi ni tatizo nafikilia tu inaweza kuwa sababu ni mawazo tu
 
Back
Top Bottom