Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Leo Rais Samia Suluhu ameshiriki kwenye Mkutano mkuu wa Jumuiya ya Kikristo na miongoni mwa maombi yao ni kushiriki kwenye Demokrasia na Chaguzi.
Jumuiya hiyo imesema ushiriki wa taasisi katika uchaguzi wa kidini haukuwepo kabisa kutokana na kukosa kibali kutoka mamlaka husika na wanaomba wahusishwe zaidi mbeleni.
Pia Jumuiya imepongeza utawala sheria kwenye awamu ya sita ikiwemo kuchukua hatua dhidi ya viongozi wa Serikali waliokuwa na tuhuma ya matumizi mabaya ya madaraka na kuminya haki za msingi za binadamu.
Jumuiya hiyo imesema ushiriki wa taasisi katika uchaguzi wa kidini haukuwepo kabisa kutokana na kukosa kibali kutoka mamlaka husika na wanaomba wahusishwe zaidi mbeleni.
Pia Jumuiya imepongeza utawala sheria kwenye awamu ya sita ikiwemo kuchukua hatua dhidi ya viongozi wa Serikali waliokuwa na tuhuma ya matumizi mabaya ya madaraka na kuminya haki za msingi za binadamu.