Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
uwezi kuwapata hao mabaharia wanaoishi kwao!

mabahari wote wana mageto yao na kwa mabahari wasiokua na mageto wanaishi ata vichakani

alafu bila kusahau mabahari wote mbinguni
 
Kabisa baharia
 
Baharia haruhusiwi kabisa kutumia emoj
 
Mkuu pole sana. Siku hizi wale wajanja hawapo tena mitaa ile nina jamaa zangi walilizwa pale.
 
Mbona hilo jengo limekaa ki raru mmeshindwa hata kuliweka katika mkao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…