Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

Hakuna baharia mlain baharia lazima awe mgumu

Baharia hawezi kwenda pm kwa demu ila demu ndo inapaswa aende pm kwa baharia
Asilimia 100% ya koment za ivi, huwa zinaanza "niPM"...

Ivi huwa ni kutafuta kumdogosha mtu aonekane ndio muhitaji sana???

Kwann msiwe mnawafata wenyewe PM??


Ila kwa akili za Mademu wa Humu, watakuja, wanaliwa, wanapigwa chini, wanarudi wanapiga kimyakimya [emoji23][emoji23]
 
Baharia koko a.k.a baharia wa nchi kavu nakubaliana na maagizo ya chama
 
Nasubiri comments za mabaharia wanaoishi kwao

Tafadhali comments ziwe fupi fupi " " ni muhimu

Secretary wa mabaharia nasubiri wajumbe mfike
uwezi kuwapata hao mabaharia wanaoishi kwao!

mabahari wote wana mageto yao na kwa mabahari wasiokua na mageto wanaishi ata vichakani

alafu bila kusahau mabahari wote mbinguni
 
Tunaingia melini
IMG_20190812_132633.jpeg
 
Back
Top Bottom