Jumuiya ya Mabohora Tanzania wamkabidhi RC Makonda vifaa vya kujikinga na Corona

Jumuiya ya Mabohora Tanzania wamkabidhi RC Makonda vifaa vya kujikinga na Corona

Lilikuwepo na mliahidi mtalitatua katika ilani za CCM. Miaka minne madarakani mmefanya nini?
Juz tu kwenye itv wametoka kuonyesha habari ya visima vipya huko mkoani morogoro alafu unasema huoni maendeleo yoyote kuhusu hii miaka minne, Mkuu huko vijijini huduma za maji na umeme imeboreshwa ipasavyo nilipata kukaa vijiji vya singida upande wa kaskazini kuna visima na umeme karibu kila mtaa tena kwa bei nafuu tu
 
Juz tu kwenye itv wametoka kuonyesha habari ya visima vipya huko mkoani morogoro alafu unasema huoni maendeleo yoyote kuhusu hii miaka minne, Mkuu huko vijijini huduma za maji na umeme imeboreshwa ipasavyo nilipata kukaa vijiji vya singida upande wa kaskazini kuna visima na umeme karibu kila mtaa tena kwa bei nafuu tu
Huduma za maji zingeboreshwa corona isingepinganiwa na maji ya vidumu
 
Sina uhakika kuhusu ukamatwaji wa devotha minja unatokana na maamuzi yake yeye ya kutoa msaada wa barakoa kwa wakazi wa morogoro hivyo siwezi kujibu hili kwa ujasiri
Kama serikali kweli inania njema ya kushirikiana na jamii kupambana na corona ili kuwanusuru wananchi, busara ingetumika,

Ilikuwa suala la elimu na ushauri kwa devota tena kwa ngazi za kiutawala na siyo vyombo vya ulinzi.

Angeambiwa tu kuwa akabidhi kwa mamlaka husika kama angebisha basi hatua zingine zingefuata.

Kazi hii ingefanywa hata na mwenyekiti wa mtaa husika.
Lakini imetumika nguvu kubwa kuliko tukio lenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma za maji zingeboreshwa corona isingepinganiwa na maji ya vidumu
Kwaiyo mkuu ulidhani ingekuwa ustaarabu kama watu wangekuwa wananawa kupitia matank au mabomba!!? Huoni kama hivyo vidumu na ndoo zimepunguza msongamano!!?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nadhani unatakiwa kuwa muhindi/asian kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
... mh! dini ikishaweka vigezo ambavyo vinawatenga wengine completely hilo ni tatizo! But i don't think so; dini/dhehebu la aina hiyo sidhani kama lingepata usajili hapa nchini.
 
Mkuu usiangalie yaliyopita kama mungu kakubariki uwezo wa kutoa toa tu watanzania sasa Wanauhitaji kuliko kipindi chochote kile

Kukabidhi msaada serikalini ni tofauti kabisa na kuisaidia jamii...
Yaani ni kama kutoa sadaka vile.... Ni kama kupoteza vile...
 
Back
Top Bottom