Manyovumpya
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 742
- 504
Waendelee kusikitika sisi ndio tushamchagua Magufuli kwahiyo waache waone wivu maana ukiona mwanamke anasikitika ww kuoa mke mwingine ambae hana hata undugu nae ujue anakupenda umuoe yeye...sasa hao acha wasikitike wakimaliza wakakojoe wakalale
Huu ndiyo upumbavu umewafanya wananchi kuichukia CCM kwa kutengeneza propaganda za kishamba shamba kipumbavu pumbavu kama hizi mkizani watanzania ni wajinga kama nyinyi, hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniKwa ajili hiyo mnamlipa huyo Muzungu Mamilioni ya US Dollars? kupata tu hayo matamko? Mnafikiri mtamtisha mtu na matamko? Hizo fedha mngewekeza kwenye uchaguzi angalau hata mngekaribia kura alizopata Lowasa.
Low IQ !
Mtu Mzima,nitaeleza kwa ufupi kwa lugha yetu pendwa ili kila mtu aelewe
Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.
Hii ni Taassisi kubwa sana duniani imeripoti hili.
Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Jidanganye babaKwa ajili hiyo mnamlipa huyo Muzungu Mamilioni ya US Dollars? kupata tu hayo matamko? Mnafikiri mtamtisha mtu na matamko? Hizo fedha mngewekeza kwenye uchaguzi angalau hata mngekaribia kura alizopata Lowasa.
Low IQ !
Jengeni tu uongo wenu, na njia ya mwongo ni fupiCHADEMA of course, nani mwingine? Na huko ndiko mnakomalizia fedha zote za ruzuku badla ya kujenga chama, ...
Hami na Mae maendeleo = sustainabilityKuna watu wanapambana kuletea Taifa lao Maendeleo
Kule Kuna Mafara wanapambana kuchafua Taifa lao ili wawe viongozi
Wapige tu ban kutuuzia mafuta hata wiki moja tu akili zitatukaa sawa.
Hivi kwanini Tanzania tusijitoe kwenye vijumuiya visivyokuwa na mbele wala nyuma hivi? Yaani eti jumuiya ya nchi zilizotawaliwa na muingereza hii ni udhaifu
The Commonwealth Secretary-General, The Rt Hon Patricia Scotland QC, has strongly urged authorities to investigate allegations regarding the recent general election in the United Republic of Tanzania of serious electoral irregularities, violence and of deaths, particularly in Zanzibar.
Secretary-General Scotland stated:
“By turning out to vote on 28 October, the people of Tanzania once again placed their hope in our shared values of democracy. I laud them for their unwavering commitment.”
“However, I am deeply concerned by reports alleging serious incidents of violence and electoral malpractice. I urge the relevant authorities to transparently and expeditiously conduct the necessary investigations and ensure the rule of law, justice and accountability prevails, in order to maintain the people of Tanzania’s confidence in democracy.
The Secretary-General reaffirmed her hope that positive lessons from previous elections could inform current processes, and added:
“I hope that every option will be explored to maintain trust in the electoral process and to ensure that democracy, peace and unity are safeguarded in Tanzania. The Commonwealth will remain ready to offer support if required”.
Pumbavu zakoHaya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.
Hii ni Taassisi kubwa sana duniani imeripoti hili.
Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Hili goma likishafika UN via IMF and WB mchezo utakua umekwisha tayari,bora tukose wote
The Commonwealth Secretary-General, The Rt Hon Patricia Scotland QC, has strongly urged authorities to investigate allegations regarding the recent general election in the United Republic of Tanzania of serious electoral irregularities, violence and of deaths, particularly in Zanzibar.
Secretary-General Scotland stated:
“By turning out to vote on 28 October, the people of Tanzania once again placed their hope in our shared values of democracy. I laud them for their unwavering commitment.”
“However, I am deeply concerned by reports alleging serious incidents of violence and electoral malpractice. I urge the relevant authorities to transparently and expeditiously conduct the necessary investigations and ensure the rule of law, justice and accountability prevails, in order to maintain the people of Tanzania’s confidence in democracy.
The Secretary-General reaffirmed her hope that positive lessons from previous elections could inform current processes, and added:
“I hope that every option will be explored to maintain trust in the electoral process and to ensure that democracy, peace and unity are safeguarded in Tanzania. The Commonwealth will remain ready to offer support if required”.
Maneno tu. Hata kwenye kanga yapoSpana la Kimataifa linakuyaa bajiandaeeh
Mchimba kaburi kaingia mwenyewe.....