Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Hii sio serikali ya awamu ya 6,bado tuko awamu ya 5Wanamtegemea Katibu Mtendaji wa SADC na viongozi wengine kama wa Zimbabwe Kuwapa matumaini ya muda mfupi serikali ya CCM Mpya awamu ya 6 . Katibu Mtendaji wa SADC ni mtanzania rejea hapa Katibu Mkuu wa SADC :
KUTOKA KUMBUKUMBU ZA INTANETI
Leo Jumatano Februari 5, 2020 Rais wa Tanzania, John Magufuli amefanya mazungumzo Ikulu ya Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (Sadc), Dk Stergomena Tax
Ni vibaka fulani wa ulaya wanaopora mali za waafrikaMkuu, unakijua kiingereza kweli? Au unadhani Commonwealth ni jina la mtu?
Mbona kama wewe ndiye mwenye low IQ.Kwa ajili hiyo mnamlipa huyo Muzungu Mamilioni ya US Dollars? kupata tu hayo matamko? Mnafikiri mtamtisha mtu na matamko? Hizo fedha mngewekeza kwenye uchaguzi angalau hata mngekaribia kura alizopata Lowasa.
Low IQ !
Jamaa kaniacha hoi, anajua commonwealth ni mjomba wake na Amsterdam. Halafu anajifanya mjuajiMkuu, unakijua kiingereza kweli? Au unadhani Commonwealth ni jina la mtu?
Ramli chonganishiHaya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.
Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.
Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Hilo ni genge moja la mbwa mwitu.Inamaana viongozi wa Afrika Mashariki ná viongozi wa SADC hawakuyaona haya?
Hiyo ni lugha ya kidiplomasia mkuu, ila wanajua kila kituKama hujui lugha hiyo mzee ni kwamba wanasema wanasikitishwa na ripoti zinazodai kuwapo kwa matukio hayo; hawesemi kuwa kuna matukio hayo.
Mkuu rudi shule itakusaidia sana baadaye, utakuja juta kupoteza muda wako kwa wanasiasa. Au jikite kwenye shughuli zako. Naona uelewa wako wa mambo uko chini na hujui hilo.Ulimsikia tundu alivyosema lkn alivyoongea na Wanahabari kumhusu huyo Muzungu? Hata kuna uzi humu wa huyo Muzungu akisema anawaandikia Jumuiya ya madola, sasa kipi ambacho hauelewi? Au unafikiri huyo Muzungu anafanya charity?
The Commonwealth Secretary-General, The Rt Hon Patricia Scotland QC, has strongly urged authorities to investigate allegations regarding the recent general election in the United Republic of Tanzania of serious electoral irregularities, violence and of deaths, particularly in Zanzibar.
Secretary-General Scotland stated:
“By turning out to vote on 28 October, the people of Tanzania once again placed their hope in our shared values of democracy. I laud them for their unwavering commitment.”
“However, I am deeply concerned by reports alleging serious incidents of violence and electoral malpractice. I urge the relevant authorities to transparently and expeditiously conduct the necessary investigations and ensure the rule of law, justice and accountability prevails, in order to maintain the people of Tanzania’s confidence in democracy.
The Secretary-General reaffirmed her hope that positive lessons from previous elections could inform current processes, and added:
“I hope that every option will be explored to maintain trust in the electoral process and to ensure that democracy, peace and unity are safeguarded in Tanzania. The Commonwealth will remain ready to offer support if required”.
Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.
Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.
Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
View attachment 1618126View attachment 1618125
My Take
Pamoja na ukweli wa mambo yasiyo ya kawaida,ila ndugu zetu wa damu jumuia za Afrika zinasema mambo yalikuwa shwari.
Haki gani unataka wewe? Uchaguzi umefanyika kwa uhuru na haki hakuna mtz yoyote aliyekatazwa kupiga kura na kura zote zimehesabiwa kwenye kituo mbele ya mawakala wa vyama vilivyoweka wakala na mshindi akaonyeshwa hapo hapo kwenye kituo. Sasa wewe unayesema uchaguzi haukuwa huru na haki leta ushahidi siyo kulialia tu kama mtoto mdogo!Mkuu huwezi kuleta maendeleo kwa kuendesha uchaguzi wa haki ?
Fuatilia uchaguzi wa US unaoendelea hivi sasa uone kama Polisi hawatumii tear gas ila ikitumika Afrika basi uchaguzi siyo uhuru na haki. Ni ujinga uliopitiliza kuwaamini wazungu kila wanachoongea wakati mwingine tutumia akili zetu vizuri kama tulivyopewa na Mwenyezi Mungu.Police ulaya wakiuwa mweusi waafrika upiga kelele, but ni sahihi kwa Askari mwafrika kuuwa mwafrika mwenzake kulinda tumbo la mtawala
Kwa ajili hiyo mnamlipa huyo Muzungu Mamilioni ya US Dollars? kupata tu hayo matamko? Mnafikiri mtamtisha mtu na matamko? Hizo fedha mngewekeza kwenye uchaguzi angalau hata mngekaribia kura alizopata Lowasa.
Low IQ !
Fuatilia uchaguzi wa US unaoendelea hivi sasa uone kama Polisi hawatumii tear gas ila ikitumika Afrika basi uchaguzi siyo uhuru na haki. Ni ujinga uliopitiliza kuwaamini wazungu kila wanachoongea wakati mwingine tutumia akili zetu vizuri kama tulivyopewa na Mwenyezi Mungu.
Lakini huwezi ona kura feki zikiingizwa, mawakala kunyimwa form, mawakala kutolewa kwa nguvu na mitutu ya bunduki.Fuatilia uchaguzi wa US unaoendelea hivi sasa uone kama Polisi hawatumii tear gas ila ikitumika Afrika basi uchaguzi siyo uhuru na haki. Ni ujinga uliopitiliza kuwaamini wazungu kila wanachoongea wakati mwingine tutumia akili zetu vizuri kama tulivyopewa na Mwenyezi Mungu.
Hakuna kitu kama hicho mimi ni mwanakawe tulipiga kura kwa uhuru na haki kabisa hizo ni mbinu za Mdee baada ya kuona ameshindwa. Si aende mahakamani TZ kuna mahakama ambazo zinaweza kushughulikia malalamiko ya uchaguzi na wala si Wamarekani watupangie vitu vya kufanya.Lakini huwezi ona kura feki zikiingizwa, mawakala kunyimwa form, mawakala kutolewa kwa nguvu na mitutu ya bunduki.
Vip ya HaiHakuna kitu kama hicho mimi ni mwanakawe tulipiga kura kwa uhuru na haki kabisa hizo ni mbinu za Mdee baada ya kuona ameshindwa. Si aende mahakamani TZ kuna mahakama ambazo zinaweza kushughulikia malalamiko ya uchaguzi na wala si Wamarekani watupangie vitu vya kufanya.
Kwani Uhuru na Mjomba Magu wanapishana? Tofauti ni katiba ya Kenya inaruhusu kwenda mahakamani na ya kwetu hairuhusu. Akisha Tangazwa basi tena na usitegemee kondoo wa nyerere kufanya lolote labda itokee miujiza.Uhuru Kenyatta ndio tuseme ile "Hongo uliyopewa ya Ndege Tausi " imekufanya usifie uchaguzi wa dhuluma???
Ndio atakapo aibika, mwanachama wa Common Wealth Countries halafu kajifanya kusifia na kumpongeza Mfalme kwa yaliofanyika. Wakati viongozi wa CWC wamesikitishwa na uchaguzi huo.
Ndio watakapomuona kituko Uhuru Kenyata.
Hai Mbowe ameshindwa ndiyo maana anahangaika na Dar kama wananchi wangekuwa wamemchagua Mbowe wangekuwa wako barabarani mkuu!Vip ya Hai