Juni 10 IMF & World Bank kuamua iwapo Tanzania tunakidhi kupewa mkopo tulioomba kupambana na corona au hatustahili

Sahihi kabisa kwa family level hasa kama watoto bado wadogo ila kama ni vijana watu wazima wanaoelewa hali ikoje njia bora ni kuwaambia ukweli wote. Uongo hautasaidia.
 
Tafakuri ya Dr. A. Lwaitama - Tanzania vita yake dhidi ya CORONA ni siasa na siyo ya kisayansi
  • Tanzania haikuwa na uwezo wa kuwalisha watu wa mijini hivyo iliweka lockdown ya kinamna yenye mrengo wa kisiasa
  • Asilimia 70% ya watanzania wanakaa vijijini ambapo wanajitegemea kwa chakula , mitishamba kama alovera na majani ya nyungu
  • Maamuzi ya Tanzania yaliangalia uhalisia serikali haingeweza kuwalisha watu wa mjini, hivyo kuamua kuja na lockdown ya kisiasa kuonesha inawapenda na kuwajali watu
  • Lockdown ya ulaya haikuwa total lockdown watu waliruhusiwa kwenda supermarket, pharmacy kwa utaratibu maalum
  • Lockdown za ulaya na Tanzania kufunga vyuo, kunawa mikono, kuvaa barakoa, kuzuia mikusanyiko zote zilikuwa za kisiasa zaidi maana hazikuwa za kiimla kama China, Vietnam , Rwanda n.k

 
Sahihi kabisa kwa family level hasa kama watoto bado wadogo ila kama ni vijana watu wazima wanaoelewa hali ikoje njia bora ni kuwaambia ukweli wote. Uongo hautasaidia.
Mmmh, haya bana ila. kuna wapinzani
 
Mkuu Mfukua Makaburi, kwanza asante kwa taarifa hii toka IMF.

Nina kaswali kamoja kadogo, katika barua hiyo ya IMF, hakuna popote walipoeleza hoja za serikali yetu kuomba msaada huo!, sasa hizo hoja kuwa Tanzania tumeshindwa kuwapima Corona watu wetu kwasababu ya ukosefu wa fedha, umezitoa wapi?!
P
 
Hii nchi imejaa wendawazimu. Unaombaje msaada wa kupambana na kitu ulichoitangazia dunia mmeimaliza tena kwa maombi.

Mi nadhani kwa kuwa Mungu wa Tanzania na Afrika anatuoenda sana tuombe kila kitu kwake.

Tuachane kabisa na hawa mabeberu.
 
Haituhusu, Sisi tumekubali Mziki wa JPM 2020 . Mungu Mlinde Rais wetu mwenye Mapenzi Mema na nchi yetu.
Nimecheka sana baada ya kusoma Write up ya Zitto Kabwe. Hivi Zitto Kabwe anaweza kuongelea ni nini Mwaka 2020.
 
Mkuu p.

Kwenye post namba 20 nimeweka barua ya Tanzania kuomba mkopo ya May 27, 2020. Pitia post namba 20 mkuu.

Ahsante.
 
Nobody can bring us to our knees,Tanzania is a Sovereignty State.
Only money can bring us to our knees.

Money has brought us into our knees. We are now kissing beberus ass for money.

There is no such thing as sovereignty for a poor country. As long as you are poor you are not a sovereign country.

Don't be fooled by politicians. They can say anything for political reasons. They can promise you that stones can be cooked while in fact you can't cook stones.

You can see now what happened, we have been told that we can't bow down for anyone for money as we are self sufficient but behind closed doors our top officials are kissing beberus as for money.
 
Zitto hajaandika barua ya kuomba tunyimwe hiyo nafuu?
Nafuu tuliomba April ,wao wanakaa june 10,tumeshapita kwenye hali ngumu,watupe wasitupe haitatuathiri kama nchi
Kenya walikubali lock down,wamelamba usd 1 bilioni fasta,bila vikao vya bodi,kazi itakua kuirudisha baada ya corona kwisha
 
Post number ishirini ya uzi huu, mbona sahihi ya Waziri na Gavana zinafanana ama macho yangu!!? Barua itakuwa fake hii nini?
 
Hiyo ya April umeitoa wapi?

Nimeweka barua ya May 27 ya serikali kuomba msaada na sio April.

Kwenye barua serikali inasema kuanzia july itakua na hali mbaya sana.

Soma post no 20.
 
Kuna Shida mahali... Mnasema barua iliandikwa April, lakini mnayoonyesha hapo (post #20) ni ya May 27. Tushike lipi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…