Hali tayari iliishakuwa mbaya kabla hata ya Corona kuja ila sasa inataka kutumiwa kama kisingizio cha kuomba msaada.
Lkn kama Tanzania itapewa hiyo "Relief" itakuwa ni kwa hisani ya ripoti iliyotolewa na ubalozi wa Marekani nchini na wala sio eti kwa kilio cha akina Mpango ambao siku zote walichofanya ni kuficha "Extent" ya maambukizi.
We have very incompetent and irresponsible men whom we wrongly refer to as leaders doing this country a great disservice.