Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Nafikiri ndiyo peak ya talents nyingi za brazil baada ya hapo wakaanza kuzalisha short lived talents za miaka miwili zinapotea kama upepo wa kisulisuliBrazil ile kikosi ya 2002 ilikuwa ni shida sana kupenya, nilikuwa mpenzi wa Giovane Elber akiwa Bayern. Lakini alikosa kwenye kile kikosi na ubora wake wote.
Sent using Jamii Forums mobile app