Kwa wasio wafuasi au mashabiki wa hii timu wataendelea kuumia sana tuu.JNK bado tunae sana na kwake tunategemea mafanikio zaidi a coming seasonKlopp bado yupo sana pale Liverpool, anahutaji reinforcements tu. Ubaya ni kuwa mnaoumia na kupiga kelele wala sio mashabiki wa Liverpool
MosDef Captain Marvelous mtongwe
Huenda wanaobetiKlopp bado yupo sana pale Liverpool, anahutaji reinforcements tu. Ubaya ni kuwa mnaoumia na kupiga kelele wala sio mashabiki wa Liverpool
MosDef Captain Marvelous mtongwe
Mara ya mwisho,usipende kuuchambua mpira kwa mawazo mepesi kiasi hicho!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Toa na wewe mawazo yako!
La sivyo utaonekana hata timu unayoipenda huijui vizuri
Sina neno la kuongezaUsishangae liverpool msimu ujao ikawa ya moto chini ya huyu huyu klopp