...dahh, hapana bana...kwenye mambo haya lazima kuzisoma na kuzingatia
signals bana...otherwise utaishia kuharibu zipu tu...mara ushushe mara upandishe..
...can you share a bed na female friend bila kumsumbua sumbua?...hebu nambie ukweli.
Exactly, very true for singozi
albam, ???!!!
a bed? nope...lol
...dahh, hapana bana...kwenye mambo haya lazima kuzisoma na kuzingatia
signals bana...otherwise utaishia kuharibu zipu tu...mara ushushe mara upandishe..
...can you share a bed na female friend bila kumsumbua sumbua?...hebu nambie ukweli.
Hahaha album wakiflirt nje ya studio zao wanatafuta excitement on the wrong place. Badala ya kuwasha moto kwao wanaenda washa mishumaa kwa jirani.
Kwenye tamthilia inawezekana
lakini sio kwenye haya maisha ya kawaida
Kwenye tamthilia inawezekana
lakini sio kwenye haya maisha ya kawaida
wajue wanacheat 100%
bila chenga
...kwanini haiwezekani?...
Ohhh inawezekana sana.
Ukitaka ushahidi niite pembeni siku ya harusi.
Usipende kujaribu kina kwa mguu wako
siku moja waweza juta
Uzoefu wangu ni kuwa...Inawezekana kutegemeana na ukaribu ambao upo baina yenu,ni nini mnazungumza na uwazi uliopo baina yenu....na kama kuna commitment fulani ambazo mmoja wenu anazo ambazo upande wa pili lazima aziheshimu....kuumia inawezekana kwa kweli,mfano best friend wako kaoa na unafurahia jinsi anavyomtunza mke wake,lazima ka wivu katakuwepo hata kama hakuna kitakachoendelea baada ya huo wivu....yamekushinda naona The Boss....lol
wewe hayajakushinda bado?
utaumia ki chini chini hadi lini?
niambie tu ukweli labda na mimi ni hivyo hivyo lol
Lol, i have this feminine ego...sasa kama huyo anayekuumiza hawezi kuwa wako kuna haja gani ya kumwambia?
Unakubali tu ukweli,unajifunza kwa mazuri yao,maisha yanaendelea....ukilazimisha mambo ndo mwanzo wa aibu na majuto....!
Ukweli upi zaidi uambiwe, ukiambiwa ukweli huonekani....lol
Tayari mbona, bado nilikua sijasikia hii maneno ya 'haiwezekani' 'haiwezekani' kwahiyo nilikua najua ni kawaida tu.
hebu niambie sasa
yoote uliyoyaficha moyoni lol
leo nipo kwa ajili yako lol
Possibility ya ukweli wa moyo wangu kuwa na matunda yenye furaha ni kiasi gani???
My fragile heart doesn't have a place for new dissapointments....lol
what is life if not a risk?
anything that is not risk for is not worth it
so we funguka tu kwaanza.....lol
usiseme nakimbia,low battery lol