Just a friend na matatizo yake.....

Just a friend na matatizo yake.....

Hamna cha labda, inawezekana sana. Atleast kwangu nwy!!

imewezekana kwako
lakini hvo vidume unavyoviita 'best friends'
hujui mioyoni mwao wanakuvua nguo mara ngapi and more wakikutazama kila siku....
hujui......na hiki ndo tunachozungumzia hapa
hata kama hawasemi...
 
ha haa unakomaa nao kwa kukataa urafiki?
umepotea saana
hiyo photo ya mgongo mi hoi lol
unakomaa nao kukataa yale mengine ili urafiki uendelee. wakati mwingine tukubali babisa kwamba tunahitaji kubadilishana mawazo na upande mwingine wa shilingi, lakini sasa mambo mengine yakiingia tu mmeshaharibu kila kitu, yanaanza mawivu, mahasira etc na mwisho urafiki unaishia.
Nipo my dear, majukumu tu, ila huwa nachungulia mara moja moja.
Nice topic
 
The Boss,it is veery possible..and fun too.,mi ninao,and most ni older than me,so i get to be the kiddo!.they listen,advice and wanarespect..ila it all depends ulijiekaje mwanzoni,..

wanakutamani ila hawakwambii
 
umeona?
kwa hiyo its natural sio?
wanaume hatupaswi ku feel guilty kuwatamani ma best friends wa kike...
ipo all over kwa kweli..
Boss, hii mada hutapata wanawake wengi wana admit ukweli.Si unajua tena wanawake kwa pretences hutuwezi! lol
Hivi mnadhani kwanini dini nyingine zinaweka mipaka baina ya wanawake na wanaume? Mvuto wa asili uliowekwa na muumba kuukabili yataka nguvu ya ziada.Angalia watoto wanapozaliwa hadi wanafikia umri wa kujitambua, utaona "pairing tendencies" na hata utaona ishara fulani fulani kuashiria "mvuto"huu! Najua wanawake wenzangu wengi hujaribu kudanganya ati hakuna kitu au ati ni rahisi urafiki baina ya ke na me bila "mvuto". Nimeona na kushuhudia marafiki wa namna hii, mmoja anapata mvuto wakati mwingine havutiwi na kwa sababu ya kulinda urafiki, yule aliyevutiwa hujikausha kisabuni.Wakati mwingine yule asiyevutiwa, hujua kuwa mwenzie anamzimia, ila kwa vile yeye hana mpango huo, hujifanya hajaona na kwa vile kuna "benefits" fulani hupata na siyo lazima material benefits - hata ile kampani tu, basi urafiki huendelea.
 
Wanawake na wanaume wote tukiamua tunaweza tu, hatu hitaji kuwezeshwa!!! Hakuna cha kinachoshindikana ni maamuzi tu...
 
imewezekana kwako
lakini hvo vidume unavyoviita 'best friends'
hujui mioyoni mwao wanakuvua nguo mara ngapi and more wakikutazama kila siku....
hujui......na hiki ndo tunachozungumzia hapa
hata kama hawasemi...
personal sinaga best friend wa kike
kama haja zimika ntazimika tu
ubovu uki take care sana anafikiria vingine
vivyo vivyo akini treat vizuri ntafikiria vibaya
wote niliojaribu waweka karibu kama friends nimekuta nimetafuna aisee
naungana na wewe there is no real 'just a friend'
 
Boss, hii mada hutapata wanawake wengi wana admit ukweli.Si unajua tena wanawake kwa pretences hutuwezi! lol
Hivi mnadhani kwanini dini nyingine zinaweka mipaka baina ya wanawake na wanaume? Mvuto wa asili uliowekwa na muumba kuukabili yataka nguvu ya ziada.Angalia watoto wanapozaliwa hadi wanafikia umri wa kujitambua, utaona "pairing tendencies" na hata utaona ishara fulani fulani kuashiria "mvuto"huu! Najua wanawake wenzangu wengi hujaribu kudanganya ati hakuna kitu au ati ni rahisi urafiki baina ya ke na me bila "mvuto". Nimeona na kushuhudia marafiki wa namna hii, mmoja anapata mvuto wakati mwingine havutiwi na kwa sababu ya kulinda urafiki, yule aliyevutiwa hujikausha kisabuni.Wakati mwingine yule asiyevutiwa, hujua kuwa mwenzie anamzimia, ila kwa vile yeye hana mpango huo, hujifanya hajaona na kwa vile kuna "benefits" fulani hupata na siyo lazima material benefits - hata ile kampani tu, basi urafiki huendelea.


natamani wadada humu wangefunguka na kusema ukweli kama wewe...
mimi nakubaliana na wewe kwenye watu kujikausha na kuumia kimya kimya.....
huku mwingine akijifanya hajui kumbe tu hataki.....labda au hana uhakika...
 
personal sinaga best friend wa kike
kama haja zimika ntazimika tu
ubovu uki take care sana anafikiria vingine
vivyo vivyo akini treat vizuri ntafikiria vibaya
wote niliojaribu waweka karibu kama friends nimekuta nimetafuna aisee
naungana na wewe there is no real 'just a friend'

he he heee wote ulitafuna? lol
 
natamani wadada humu wangefunguka na kusema ukweli kama wewe...
mimi nakubaliana na wewe kwenye watu kujikausha na kuumia kimya kimya.....
huku mwingine akijifanya hajui kumbe tu hataki.....labda au hana uhakika...

Hivi 'UKWELI' ni lazima kiwe kile unachotaka kusikia wewe?
 
inawezekana sana tu.nilikuwa nina rafiki yangu wa kiume,amini usiamini nilishibana nae hasa,sikuwa na feelings nae.nilikuwa namuona mshikaji tu.na kwa upande wake ni hivyo hivyo.ila alipopata girlfriend,urafiki nikaupunguza huyo dada asije akanifikiria vibaya.
labda hukuwa kiwango chake au hakuwa kiwango chako
 
Boss, hii mada hutapata wanawake wengi wana admit ukweli.Si unajua tena wanawake kwa pretences hutuwezi! lol
Hivi mnadhani kwanini dini nyingine zinaweka mipaka baina ya wanawake na wanaume? Mvuto wa asili uliowekwa na muumba kuukabili yataka nguvu ya ziada.Angalia watoto wanapozaliwa hadi wanafikia umri wa kujitambua, utaona "pairing tendencies" na hata utaona ishara fulani fulani kuashiria "mvuto"huu! Najua wanawake wenzangu wengi hujaribu kudanganya ati hakuna kitu au ati ni rahisi urafiki baina ya ke na me bila "mvuto". Nimeona na kushuhudia marafiki wa namna hii, mmoja anapata mvuto wakati mwingine havutiwi na kwa sababu ya kulinda urafiki, yule aliyevutiwa hujikausha kisabuni.Wakati mwingine yule asiyevutiwa, hujua kuwa mwenzie anamzimia, ila kwa vile yeye hana mpango huo, hujifanya hajaona na kwa vile kuna "benefits" fulani hupata na siyo lazima material benefits - hata ile kampani tu, basi urafiki huendelea.
Black Rose, sidhani kama kuna mwanamke atapingana na wewe kwamba mvuto huwa haupo. mfano mimi nimesema na nitaendelea kusema kuwa mvuto huwa upo lakini cha maana, kama unahitaji huo urafiki, ni kuupotezea. kama mvuto unatoka kwako ni vizuri sana ukajikausha ili mkaka asijue maana akijua tu huwezi kusalimika. kama utatoka kwake theni ni jukumu lako kujilinda. kwa experience yangu wakaka wengi ni waelewa sana, ukimpa reasons za kutosha, na kuendelea kum-treat kama mwanzo kabla hajakuonyesha feelings zake huwa wanaelewa.
 
Pili Kama mmoja anavutiwa na mwenzake hata wasingekua marafiki bado upo uwezekano mkubwa tu kwamba angevutiwa nae, na kama uwezekano wa kuwa nae nao ungekuwepo basi wangekua pamoja. Sasa bora kipi. . . kufall inlove with your (best) friend, mtu ambae mnafahamiana zaidi ya watu wengine wavyofahamiana au mtu tu anaeibuka out of nowhere?

Alafu kama hujagundua jaribu kuchunguza msichana na mvulana ambao ni marafiki wazuri/wa karibu sana huku wakiwa wana wapenzi wao. Utagundua kwamba kwa kiasi kikubwa wale wapenzi na bestfriend ni tofauti kabisa. Kama rafiki ni mchangamfu/mchokozi chokozi sana utakuta mpenzi ni mpole, kama mpenzi sio mtu wa movie/music kwa sana utakuta rafiki anapendelea. Kwa maana nyingine watu(sio wote) hua wanakua na marafiki wenye yale wasiyonayo wapenzi wao/yanayowavutia kua mpenzi na mtu ni tofauti na yanayowavutia kwenye urafiki. That way anatengeneza balance. . . akichoka kukaa nyumbani na kuboreka na mpenzi anamtafuta rafiki yake achangamke kidogo, akichoka na maneno mengi kwa mpenzi anamtafuta rafiki yake akili itulie kidogo.

So ndio inawezekana kuliko ambavyo watu wanapenda kukubali.[/QUOTE]kwenye rangi hapo
hiyo imesababisha watu wengi sana kumegewa aisee
nina prove nyingi sito ruhusu best frend wa kiume kwa mupenzi wangu
 
Black Rose, sidhani kama kuna mwanamke atapingana na wewe kwamba mvuto huwa haupo. mfano mimi nimesema na nitaendelea kusema kuwa mvuto huwa upo lakini cha maana, kama unahitaji huo urafiki, ni kuupotezea. kama mvuto unatoka kwako ni vizuri sana ukajikausha ili mkaka asijue maana akijua tu huwezi kusalimika. kama utatoka kwake theni ni jukumu lako kujilinda. kwa experience yangu wakaka wengi ni waelewa sana, ukimpa reasons za kutosha, na kuendelea kum-treat kama mwanzo kabla hajakuonyesha feelings zake huwa wanaelewa.

Tuko pamoja sana mpendwa!
Hata hivyo, wengi wanashindwa kuhimili vishindo hadi ku give in to a relationship esp kama na yeye anajikuta kuvutiwa.Hii mada iliwahi kujadiliwa lakini kivingine na kuna waliotoa ushuhuda kuwa at times wanajikuta waki double roles zote mbili.Hapo hapo ni rafiki wa kawaida, ila wakati mwingine wanageuka "emotional buddies na hata sex buddies". Mtu aliyeko kwenye relationship esp ndoa ni hatari kuendekeza marafiki wa opposite sex maana kipindi mtu uko kwenye matatizo, na ni kitu cha kawaida, kukimbilia kwa huyu rafiki unaweza kuishia pabaya.
 
Neno kuntu

Ukishaona unaanza kuumia akiongea na wengine
Ushaingia hasara
Kinachobaki ni utu uzima ili kulinda urafiki

unakomaa nao kukataa yale mengine ili urafiki uendelee. wakati mwingine tukubali babisa kwamba tunahitaji kubadilishana mawazo na upande mwingine wa shilingi, lakini sasa mambo mengine yakiingia tu mmeshaharibu kila kitu, yanaanza mawivu, mahasira etc na mwisho urafiki unaishia.
Nipo my dear, majukumu tu, ila huwa nachungulia mara moja moja.
Nice topic
 
wanakutamani ila hawakwambii

ahahaha the boss bwana!.as long as sijapewa dalili,na miaka inasonga na wanaendelea kuwa friends without very special benefits,its all good..
 
Kama ukichunguza utagundua kuwa wanawake wengi ndo hudhania inawezekana.....ila kama alivyosema Boss....wanawake hawajui tu hao "rafiki" zao wa kiume wameshawavua nguo mara ngapi vichwani mwao.

Niliwahi kuanzisha mada kama hii hii zamani kidogo....ngoja niitafute
 
Back
Top Bottom