Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Ushawahi kujiuliza kwanini Mungu aliwaandaa Simeoni na Anna kumpokea mtoto Yesu pale hekaluni kabla ya umauti kuwakuta?
Soma Injili ya Mtakatifu Luka (Lk 2:25-38)
Sasa Imagine Yusufu na Maria wangekutana na Kuhani au mapadri wa kwetu huku kukiwa na tetesi mtaani kuwa mtoto si wa Yusufu. Unadhani wangempa baraka huyo mtoto?
Pata picha scenario kama hii ingetokea kwa hili Kanisa Katoliki la kisasa na sheria zake za kibabe.
Soma Injili ya Mtakatifu Luka (Lk 2:25-38)
Sasa Imagine Yusufu na Maria wangekutana na Kuhani au mapadri wa kwetu huku kukiwa na tetesi mtaani kuwa mtoto si wa Yusufu. Unadhani wangempa baraka huyo mtoto?
Pata picha scenario kama hii ingetokea kwa hili Kanisa Katoliki la kisasa na sheria zake za kibabe.