Dive
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 895
- 1,489
Mama Agnes Doris Liundi mama ake na Taji Liundi ambapo babaye ni George Liundi aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa aliachiwa huru miaka kadhaa kwa msamaha wa Rais Nyerere. Inaumiza watoto wao watatu walikufa kwa sumu halafu je Mama naye angenyongwa iwapo adhabu ya kifo ingetimilizwa. Kwa Lulu Elizabeth Michael ngoja tusubirie na tuone..Nilitaka angalia utetezi wa mtuhumiwa na Dk Haule ulivyokuwa strong na issue ya insanity ilivyokuwa.Angalia jinsi mama alivyolalamika kuhusu tabia ya mume wake lkn bado alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.Nashangaa hizi bla bla za jana mnavyozipa uzito.
Dk Haule anakwambia kyna wakati alihisi kama anaongea na mti.