Twenzetu kwa raha zetu......
Swadaktaaa........ tutamtumia dadi wako maphotos flan hivi amazing, lol
Daaaaaaaaaaaaaaaah, mbona mapenzi yamekuwa rahisi sana siku hizi!!
Daaaaaaaaaaaaaaaah, mbona mapenzi yamekuwa rahisi sana siku hizi!!
Pirlo is set to play for Juve in Saturday's
Champions League final against
Barcelona, and it had been suggested
the 36-year-old would only consider
leaving the Serie A giants if they are
victorious in Berlin.
According to Spanish newspaper AS,
however, Pirlo has already accepted a
proposal from New York City having
spoken to the club's chief executive,
Ferran Soriano.
Nimekutana nayo kwenye misele. Kama ni kweli basi Allegri ana mlima next season. Pogba, Vidal, Tevez na sasa Pirlo. Mtaziba vp hizo nafasi?
Pirlo kuna uwezekano mkubwa ataondoka, Vidal na Tevez nina uhakika watakuwepo Mkuu, kwa reports za siku mbili hizi inasemekana Pogba anataka kwenda Barca na yupo tayari kukaa nasi kwa msimu mwingine ili kusubiria transfer ban ya Barca iishe muda wake
Si nilisikia eti Wenger na RM wanamtaka Vidal imeeishia vipi?
lazma tuchinje mtuTeam.barca
kwa reports za siku mbili hizi inasemekana Pogba anataka kwenda Barca na yupo tayari kukaa nasi kwa msimu mwingine ili kusubiria transfer ban ya Barca iishe muda wake
Naona 'Mes que un club' wanavunja bank siku hizi ku-sign wachezaji, ila bado wanatu-diss tuki-spend.
Naona 'Mes que un club' wanavunja bank siku hizi ku-sign wachezaji, ila bado wanatu-diss tuki-spend.
Suarez, Neymar hawa jamaa wametucost sana yaani sijui kwanini Barca siku hizi wanatoa pesa ndefu kwa ajili ya usajili.
Twende mbele turudi nyuma, nyie Madrid wazembe sana, hivi ni kweli mnashindwa kumuuza Bale kwa pesa ambayo Man U wanatoa au Chelsea kisha mkasahili Wing nyingine nzuri kuliko yule jamaa. Mpira anaocheza na pesa yake haviringani kabisa.
Team.barca