Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
Aiseee safi sana......duh! Isingekuwa kale kalaana ka Eva kwa kutawaliwa na mimi ningejipatia msafara.... Lol
Lol .......pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee safi sana......duh! Isingekuwa kale kalaana ka Eva kwa kutawaliwa na mimi ningejipatia msafara.... Lol
Dah, hii Fainali ingeingia Ac Milan ya Gang Chomba sijui ingekuwaje, na jinsi alivyokuwa hampendi Messi muhuni yule simpatii picha.
sawa mama yetu umeeleweka nilishajua Morinho kabadilika kumbe hata barca ikishinda hawez kukasirika sana
Mie nimetoka kufanya service muda mchache uliopita, kuna mabuluda wamenialika huko kanda ya kati tukashuhudie huo mtanange kindugu zaidi
#FinoAllaFine
Juventus ni mke wetu ndo maana anaitwa Bibi Kizee, hili kombe limebaki ndani ya familia yetu. Sisi ndio Baba na Mama ni Juventus, kwahiyo Juventus hata akileta upinzani wa kutupa kombe ila mwisho wa siku atatupa tuu sababu Mwanaume hajawahi kuwa mwanamke kitandani kisha mke akawa mme. Kuwa na amani kijana wangu.
Imeandikwa Mke hana ruksa juu ya mwili wake, kwahiyo Juventus hana ruksa ya mwili wake, sisi ndo tumeruhusiwa juu ya mwili wake. Juventus bebi wetu tunakupenda thaaaaaaana!!!! Muah Muah Muah Muah Mourinho, Dota everlenk fumba macho usione nikimkiss mummy wako. PNC 1 na chebi kaeni lindani hakikisheni haingii mtu ndani.
Usiende Mkuu kama unajua ni watani wako.
huyu babu anapiga pasi utafikiri anakosea wakat mwingine anatoa pasi kwa hisia bila kumwangalia muhusika ila lazma muhusika aipate na hata semi final na madrid yeye ndiye aliyetengeneza ule mpira mpaka ukaja karbia na chaki ukabid urudishwe kwenye 18 katika piganikupige ukamkuta morata kazi ikawa imeisha
hivi unadhani Sergio Busquets, Rakitic na Iniesta wataruhusu hawa Juve wacheze kati!!!!???? Unadhani Mid za Barca wataruhusu huo Upuuzi, yaani anakamatwa mtu kati mpaka pale mbele.
Akili za kimboka-Buguruni hata sishangai, angalia tu isije mwisho wa siku ukaanza kuleta story za yule baunsa kichakani......eti kwa mbindeee sana halafu kimoko tu
Naenda Arifu, tena dota wako naye kuna hatihati nikambeba
Busquets asilete tabia zake tu za kishogamboga kuwatafutia wenzake kadi kama alivyomfanyia Motta
Wakati wewe ukiongelea hao wavulana, usisahu Vidal, Marchisio na Pogba halafu Pirlo atakua sniper tu siku hiyo



Naenda na everlenk, kachoka dingi gani unamnanga binti hadharani kuwa ni msaliti, ngoja akaonje upendo wa kibuluda
Kadota kangu everlenk katata sana nilimfata PM but ikawa bila bila, anyway tuachane na hayo. Huyu binti unaweza ukambeba maana ni msaliti sana, kama anaweza kuisaliti Barca basi hata mmewe anaweza msaliti, kumbuka ana mme huyu na mali nishajirusha nayo Kimboka usiku wa manane.
Teh teh teh teh, taratibu Mzee wasije wakakusikia, unamwaga kuku kwenye mchele mwingi na hizo story za kimboka
Juventus ni mke wetu ndo maana anaitwa Bibi Kizee, hili kombe limebaki ndani ya familia yetu. Sisi ndio Baba na Mama ni Juventus, kwahiyo Juventus hata akileta upinzani wa kutupa kombe ila mwisho wa siku atatupa tuu sababu Mwanaume hajawahi kuwa mwanamke kitandani kisha mke akawa mme. Kuwa na amani kijana wangu.
Imeandikwa Mke hana ruksa juu ya mwili wake, kwahiyo Juventus hana ruksa ya mwili wake, sisi ndo tumeruhusiwa juu ya mwili wake. Juventus bebi wetu tunakupenda thaaaaaaana!!!! Muah Muah Muah Muah Mourinho, Dota everlenk fumba macho usione nikimkiss mummy wako. PNC 1 na chebi kaeni lindani hakikisheni haingii mtu ndani.
Kadota kangu everlenk katata sana nilimfata PM but ikawa bila bila, anyway tuachane na hayo. Huyu binti unaweza ukambeba maana ni msaliti sana, kama anaweza kuisaliti Barca basi hata mmewe anaweza msaliti, kumbuka ana mme huyu na mali nishajirusha nayo Kimboka usiku wa manane.
Twenzetu kwa raha zetu......