Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

ha ha ha ha ha ha ha ha ha mwisho wa siku mtashia kusema barca kabebwa kwani hapo ndipo utakapozdsha chuki zako kwa messi kwani atawafanya vibaya na mshukuru Mungu yule Chellin kakimbia kujifanya majeruhi

Kumbe sikukosea niliposema unaona visivyokuwepo, waulize everlenk na Aleyn kama nina chuki dhidi ya Messi
Chiellini ni buluda fuluu, anaweza kuwashangaza watu dakika za mwisho kabla ya mtanange mkashangaa yupo kwenye first 11
 
Last edited by a moderator:
Kumbe sikukosea niliposema unaona visivyokuwepo, waulize everlenk na Aleyn kama nina chuki dhidi ya Messi
Chiellini ni buluda fuluu, anaweza kuwashangaza watu dakika za mwisho kabla ya mtanange mkashangaa yupo kwenye first 11
PNC 1 huyu Mourinho ni rafiki yetu wala si antiMessi kabisa ila kwaajili ya mwali aliyepo mbele yetu hatuna budi kusimama kila mtu kwa zamu yake ,ndo maana kuna wakati nashindwa kuitolea jibu game hii ingawaje daddy wangu Aleyn kesha nipachika jina la msaliti ila si usaliti ni upendo tu na mapenzi yangu kwa timu zote mbili............na kweli si ajabu Chiellin huyu anayecheza na majeraha uwanjani tukamwona uwanjani, Mou msije kuwa mnafanya mind game?
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 huyu Mourinho ni rafiki yetu wala si antiMessi kabisa ila kwaajili ya mwali aliyepo mbele yetu hatuna budi kusimama kila mtu kwa zamu yake ,ndo maana kuna wakati nashindwa kuitolea jibu game hii ingawaje daddy wangu Aleyn kesha nipachika jina la msaliti ila si usaliti ni upendo tu na mapenzi yangu kwa timu zote mbili............na kweli si ajabu Chiellin huyu anayecheza na majeraha uwanjani tukamwona uwanjani, Mou msije kuwa mnafanya mind game?

sawa mama yetu umeeleweka nilishajua Morinho kabadilika kumbe hata barca ikishinda hawez kukasirika sana
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 huyu Mourinho ni rafiki yetu wala si antiMessi kabisa ila kwaajili ya mwali aliyepo mbele yetu hatuna budi kusimama kila mtu kwa zamu yake ,ndo maana kuna wakati nashindwa kuitolea jibu game hii ingawaje daddy wangu Aleyn kesha nipachika jina la msaliti ila si usaliti ni upendo tu na mapenzi yangu kwa timu zote mbili............na kweli si ajabu Chiellin huyu anayecheza na majeraha uwanjani tukamwona uwanjani, Mou msije kuwa mnafanya mind game?

Taarifa zipo kwenye website ya Club na Allegri si mtu wa mind games
Pumueni kidogo maana mbabe wa Nesi kaumia na Suarez atacheza bila hofu ya bwana ake
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh, Iniesta ni artist, Xavi ni scientist na Messi ni Dr ila hamna saint hata mmona huko Catalunya na match nzima itakua na saint mmoko tu, St.Andrea Pirlo
ha ha ha ha ha ha sawa mkuu kwa kuwa wewe ni mtoto wa mamamdogo sio mbaya nimekubaliana na wewe ila vp kuhusu xavi akiingia hawawez kuwa saint wawili
 
sawa mama yetu umeeleweka nilishajua Morinho kabadilika kumbe hata barca ikishinda hawez kukasirika sana

Mwisho wa siku michezo ni furaha, and to be honest, ni vigumu sana kumchukia Messi, ukimchukia huyu kilikuu utakua unauchukia mchezo wenyewe wa soka
 
Last edited by a moderator:
Barzagli jana na leo kafanya mazoezi vizuri tu, Chiellini ni pigo lakini wapo vijana wataziba pengo, Caceres na Ogbonna wapo fit wanasubiri kupewa namba tu
Ahsante mamy kwa pole

Wapone haraka wote ili tushuhudie bonge la game la machozi ,jasho na damu mpaka mtu ananyenyua ndoo ni watu weweeeee!!......yaani sijui nikalicheki wapi maana nahisi home sitainjoi.
 
Mwisho wa siku michezo ni furaha, and to be honest, ni vigumu sana kumchukia Messi, ukimchukia huyu kilikuu utakua unauchukia mchezo wenyewe wa soka
ha ha ha ha ha ha ha ha mkuu Frank Wanjiru
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha sawa mkuu kwa kuwa wewe ni mtoto wa mamamdogo sio mbaya nimekubaliana na wewe ila vp kuhusu xavi akiingia hawawez kuwa saint wawili

Xavi bado hajasimikwa usaint Mkuu wangu, kwa sasa yeye ni scientist tu

ImageUploadedByJamiiForums1433425550.640122.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1433425680.723833.jpg
 
Wapone haraka wote ili tushuhudie bonge la game la machozi ,jasho na damu mpaka mtu ananyenyua ndoo ni watu weweeeee!!......yaani sijui nikalicheki wapi maana nahisi home sitainjoi.

Mie nimetoka kufanya service muda mchache uliopita, kuna mabuluda wamenialika huko kanda ya kati tukashuhudie huo mtanange kindugu zaidi
#FinoAllaFine
 
Xavi bado hajasimikwa usaint Mkuu wangu, kwa sasa yeye ni scientist tu

View attachment 257121

View attachment 257123

huyu babu anapiga pasi utafikiri anakosea wakat mwingine anatoa pasi kwa hisia bila kumwangalia muhusika ila lazma muhusika aipate na hata semi final na madrid yeye ndiye aliyetengeneza ule mpira mpaka ukaja karbia na chaki ukabid urudishwe kwenye 18 katika piganikupige ukamkuta morata kazi ikawa imeisha
 
Teh teh teh, Iniesta ni artist, Xavi ni scientist na Messi ni Dr ila hamna saint hata mmona huko Catalunya na match nzima itakua na saint mmoko tu, St.Andrea Pirlo

Hahahahahahaha!!! Sawa bana nimekubali Pirlo ni Saint tena yeye na wenzake Barzagli na Bonucci watakuwa wanaiwakilisha ile Italy iliyobeba kombe la dunia mara ya mwisho........please nakuomba tu Xavi aingie kwenye stage ya Pre Saint .......lol
 
huyu babu anapiga pasi utafikiri anakosea wakat mwingine anatoa pasi kwa hisia bila kumwangalia muhusika ila lazma muhusika aipate na hata semi final na madrid yeye ndiye aliyetengeneza ule mpira mpaka ukaja karbia na chaki ukabid urudishwe kwenye 18 katika piganikupige ukamkuta morata kazi ikawa imeisha

Wenye uwezo unaolingana na huyu Saint, alikuwepo Zizzou, kuna hawa waspaniola wawili Xavi na Alonso.
Tunakaribia kumkamata Khedira kutoka kwa mahasimu wenu, nimesikia kashapass kwenye vipimo vya afya
 
Hahahahahahaha!!! Sawa bana nimekubali Pirlo ni Saint tena yeye na wenzake Barzagli na Bonucci watakuwa wanaiwakilisha ile Italy iliyobeba kombe la dunia mara ya mwisho........please nakuomba tu Xavi aingie kwenye stage ya Pre Saint .......lol

Yuko stage moja nyuma ya kuwa Saint, tunaweza kumuita Associate Saint though, lol😂
 
Kumbe sikukosea niliposema unaona visivyokuwepo, waulize everlenk na Aleyn kama nina chuki dhidi ya Messi
Chiellini ni buluda fuluu, anaweza kuwashangaza watu dakika za mwisho kabla ya mtanange mkashangaa yupo kwenye first 11

Dah, hii Fainali ingeingia Ac Milan ya Gang Chomba sijui ingekuwaje, na jinsi alivyokuwa hampendi Messi muhuni yule simpatii picha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom