Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Kwanza hujambo sweet everlenk? Nilikua safari na ndio kwanz nimerudi so hizo amsha amsha, tambo, mbwembwe, majigambo na bakshasha kuanzia leo zitakua zinaflow kwa current ya hali ya juu sana, #forzaJuve
Wakati wewe unadhani Messi ananinyima usingizi kiungo wenu wa kutumainiwa, mchezaji ambaye mimi naona kuna time hii fifa mafioso ilimnyima zawadi yake ya kuwa mwanasoka bora wa dunia, Andreas Iniesta, kaingiwa na woga/ndetema wa kukutana na mdundiko wa buluda mpaka anataka asicheze fainali
Tuko tayari kuishangaza dunia na endeleeni kula urojo, bamia, mlenda na vyakula vyote vitakavyo wasaidia kulainisha viuno maana mdundiko wa kibuluda ukipita kitaa lazima ucheze tu hata kama hamtaki, waulizeni Madrid myao wa tunduru Gang Chomba juve2012, Ziroseventytwo, Viper, bologna, na mabuluda wote wa JF, karibuni nyumbani kwa mabingwa

Ft itakuwa barca 3-0 juve
 
Last edited by a moderator:
Mimi mzima dear nashukuru Mungu, pole na safari wangu, itabidi siku nikaribie nile na mimi vya safarini........

Hii game kiasi fulani inatisha ukizingatia kwa mlicho kifanya kwa RM wengi wanaogopa lakini kwa Barca mtatulia tu.....Iniesta lazima aogope wale Bilbao walimpa majeraha kidogo sasa akikumbuka mabuluda walivyo maana nyie kwa rafu mabuluda mko vizuri anahofu msije mkamnyima kucheza msimu ujao......

Kitakachowasaidia mtumie mbinu ya Mou tu kupaki basi hilo hata wachezaji wenu wa zamani wamelisema....... Mimi naona aibu tu vijana watakavyo wapigisha kwata wazee.......lol.... Europa imeshakuja Spain kifuatacho ITV ni UCL.......tusameheni tu kwa hilo japo tunajua nanyi mwataka kuibeba Italy irudi kwenye form ila hatuna namna zaidi ya mpigwe tu.

Karibu sana mamy
Hakuna aliyetegemea kuwaona mabuluda kwenye finals mwaka huu, hakuna anayetegemea kuwaona mabuluda wakinyanyua ndoo ya UCL ifikapo jumamosi.....tunaitwa the underdogs, hatuna presha na match hii, presha iko kwenu Wacatalunya

Tunaweza kucheza mpira wa aina zote, tukiamua kukaba na kuziba njia zote za mipira we can do that, tukiamua kupiga passes na kupress tunaweza (waulize Madrid), so njooni tu na tikataka zenu lakini mjue hamna beki wa kucheza na Carlitos na Morata, hakuna kiungo wa kuwakaba kina Vidal, Pogba na Marchisio, hakuna mkatalunya wa kuruka kwenye kona na kina Bonucci na Llorente, na mkitaka tucheze daruga tutawageuza Nessi, Neima na Shuarez viwete siku hiyo

Itakua mnafanya mashambulizi 10 na mnatoka patulo sisi tukipiga mashambulizi 2 tu tunagusa mpaka kizazi halafu tunarudi kati, tunawaacha mchezee our big balls weee, sisi tukiwakamata mpaka muombe mmaa
Chiellini kawaambia juzi, magoli anayopewa sifa Messi atayafungia hukohuko kwenyu against Bilbao, siyo mbele ya mabuluda
 
Juve jiburudisheni tuu hiyo ni haki yenu sisi barca maongezi ni kidogo kuliko vitendo tumabakiwa na siku 4 msn wanyanyue ndoo najua wale mliowatoa nusu final leo ndio watakushangirieni ili kukupeni sapota wamesha sahau kua nyinyi ndio mlio watoa ila haina shida tarehe 6 ndio hioo mtakuja kumjua huyu mtu anaeitwa messi ni mtu wa aina gani

Chiellini said earlier this week: ‘Messi couldn’t score that type of goal in Italy. In Spain they attack better than us, but we are better at defending.’
 
Ahahahahahhahahahahahahahahaha Mimi ngoja ninyamaze.

Umeshikwa na woga, hata nje hutoki umebaki kujificha tu huku ukitetemeka kwa woga, jukwaa umemuachia binti yako everlenk, hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kunyamaza
Mdundiko utapigwa jumamosi, endeleeni kuchukua mazoezi ya kufungwa vibwebwe, kumwaga mauno na kusasambua maana bila kujiandaa mtapata shida sana na mdundo wa mabuluda
 
Last edited by a moderator:
My Alter Ego promised in here, to swallow his word if Juve were to made it to the Final, so here i am on his behalf taking back everything negative he said.

Juve and Barça are the 2 best teams in the world atm, hands down. It is obvious who i wish they win, so i'm not gonna jinx them. All the best.
 
My Alter Ego promised in here, to swallow his word if Juve were to made it to the Final, so here i am on his behalf taking back everything negative he said.

Juve and Barça are the 2 best teams in the world atm, hands down. It is obvious who i wish they win, so i'm not gonna jinx them. All the best.

Well said Champs
We'll do you a favor by putting them catalans in their place
 
Karibu sana mamy
Hakuna aliyetegemea kuwaona mabuluda kwenye finals mwaka huu, hakuna anayetegemea kuwaona mabuluda wakinyanyua ndoo ya UCL ifikapo jumamosi.....tunaitwa the underdogs, hatuna presha na match hii, presha iko kwenu Wacatalunya

Tunaweza kucheza mpira wa aina zote, tukiamua kukaba na kuziba njia zote za mipira we can do that, tukiamua kupiga passes na kupress tunaweza (waulize Madrid), so njooni tu na tikataka zenu lakini mjue hamna beki wa kucheza na Carlitos na Morata, hakuna kiungo wa kuwakaba kina Vidal, Pogba na Marchisio, hakuna mkatalunya wa kuruka kwenye kona na kina Bonucci na Llorente, na mkitaka tucheze daruga tutawageuza Nessi, Neima na Shuarez viwete siku hiyo

Itakua mnafanya mashambulizi 10 na mnatoka patulo sisi tukipiga mashambulizi 2 tu tunagusa mpaka kizazi halafu tunarudi kati, tunawaacha mchezee our big balls weee, sisi tukiwakamata mpaka muombe mmaa
Chiellini kawaambia juzi, magoli anayopewa sifa Messi atayafungia hukohuko kwenyu against Bilbao, siyo mbele ya mabuluda

Hahahahahha!!!! nyie wanyonge wenu Madrid......tutawaonyesha vizuri how good to be a young japo twajua ng'ombe hazeki maini lakini mavi ya kale hayanuki.......

Unamjua vizuri Nyokolidadi Messi sometimes is not a human so Chiellin atulie tu maana anapambana na kiumbe wa ajabu at any time anaweza kubadilisha mambo, mkimkania yeye Anaweza kujibadilisha na kuwa Neymar or Suarez or any player na Barca tukacheka juve mkalia,vijana wetu kina Rakitik,Iniesta Alves,Mascherano,Alba,Bosquets watafanya kazi yao vizuri kabisa chini ya Director mwenyewe Enrique.....

Ebanaa Eee hili game litakuwa bonge la game na ni unpredictable hope tutainjoi sana wasitubanie tu wakacheza hovyo hovyo, na atakayeshinda kivyovyote vile atakuwa kidume kweli kweli.

Haya siku hazigandi tunasogea hatimaye leo ni J5.....jmos ifike haraka tumjue mbabe, uwe na wakati mwema wangu.
 
Hahahahahha!!!! nyie wanyonge wenu Madrid......tutawaonyesha vizuri how good to be a young japo twajua ng'ombe hazeki maini lakini mavi ya kale hayanuki.......

Unamjua vizuri Nyokolidadi Messi sometimes is not a human so Chiellin atulie tu maana anapambana na kiumbe wa ajabu at any time anaweza kubadilisha mambo, mkimkania yeye Anaweza kujibadilisha na kuwa Neymar or Suarez or any player na Barca tukacheka juve mkalia,vijana wetu kina Rakitik,Iniesta Alves,Mascherano,Alba,Bosquets watafanya kazi yao vizuri kabisa chini ya Director mwenyewe Enrique.....

Ebanaa Eee hili game litakuwa bonge la game na ni unpredictable hope tutainjoi sana wasitubanie tu wakacheza hovyo hovyo, na atakayeshinda kivyovyote vile atakuwa kidume kweli kweli.

Haya siku hazigandi tunasogea hatimaye leo ni J5.....jmos ifike haraka tumjue mbabe, uwe na wakati mwema wangu.

Mimi huwa nawashangaa mnaposema hii Game haitabiriki, haitabiriki kiaje labda!!??
Hii Game Juventus anakaa bila wasiwasi kabisa, labda ni unpredictable sababu hatuwezi kujua Messi na Neymar watapiga ngapi, hatuwezi kujua Messi atawapiga matobo akina nani, hatuwezi kujua Messi atafunga kwa free kick/kwa driblling au kwa one-two.
Harafu siku hizi umekuaje yaani everlenk, umekuwa mzembe mzembe, hata wewe wa kusema hii Game haitabiliki, ni kweli everlenk!!?? Unanisikitisha kwa mtu kama wewe kusema hiv. Au kwa kuwa hauna imani na Man U unaona hata Barca vile vile, hii sio Man U. Barca hatuna mchezo kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Umeshikwa na woga, hata nje hutoki umebaki kujificha tu huku ukitetemeka kwa woga, jukwaa umemuachia binti yako everlenk, hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kunyamaza
Mdundiko utapigwa jumamosi, endeleeni kuchukua mazoezi ya kufungwa vibwebwe, kumwaga mauno na kusasambua maana bila kujiandaa mtapata shida sana na mdundo wa mabuluda

Poleni sana, na hivi mmemchokoza Messi kuwa magoli ya ku_dribble anafunga akiwa Spain tuu, mtamkoma.
Hata Manuer Neuer alisema kuwa atamuona Messi kuwa yeye ni nani, na matokeo yake uliyaona. Sasa subiri muone ngoma mtakayokwenda kuicheza.
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa nawashangaa mnaposema hii Game haitabiriki, haitabiriki kiaje labda!!??
Hii Game Juventus anakaa bila wasiwasi kabisa, labda ni unpredictable sababu hatuwezi kujua Messi na Neymar watapiga ngapi, hatuwezi kujua Messi atawapiga matobo akina nani, hatuwezi kujua Messi atafunga kwa free kick/kwa driblling au kwa one-two.
Harafu siku hizi umekuaje yaani everlenk, umekuwa mzembe mzembe, hata wewe wa kusema hii Game haitabiliki, ni kweli everlenk!!?? Unanisikitisha kwa mtu kama wewe kusema hiv. Au kwa kuwa hauna imani na Man U unaona hata Barca vile vile, hii sio Man U. Barca hatuna mchezo kabisa.

Daddy taraaatibuuuu!!!! Haitabiriki kwa upande wa magoli.......ushaanza mambo yako ntanuna......
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa nawashangaa mnaposema hii Game haitabiriki, haitabiriki kiaje labda!!??
Hii Game Juventus anakaa bila wasiwasi kabisa, labda ni unpredictable sababu hatuwezi kujua Messi na Neymar watapiga ngapi, hatuwezi kujua Messi atawapiga matobo akina nani, hatuwezi kujua Messi atafunga kwa free kick/kwa driblling au kwa one-two.
Harafu siku hizi umekuaje yaani everlenk, umekuwa mzembe mzembe, hata wewe wa kusema hii Game haitabiliki, ni kweli everlenk!!?? Unanisikitisha kwa mtu kama wewe kusema hiv. Au kwa kuwa hauna imani na Man U unaona hata Barca vile vile, hii sio Man U. Barca hatuna mchezo kabisa.

ha haha ha ha ha ha ha ha ha naziona 6 pia messi 3
 
Last edited by a moderator:
ha haha ha ha ha ha ha ha ha naziona 6 pia messi 3

huyu everlenk bado anachembe za kutoipenda Barca sababu yeye ana roho ya Man U, kuishabikia Barca ni kujikana. Unapaswa kuishabikia Barca tuu barani Ulaya na wala usiwe na timu nyingine.
 
Last edited by a moderator:
huyu everlenk bado anachembe za kutoipenda Barca sababu yeye ana roho ya Man U, kuishabikia Barca ni kujikana. Unapaswa kuishabikia Barca tuu barani Ulaya na wala usiwe na timu nyingine.
hakika Aleyn mchanganyo hata Mungu hapendi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom