Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Forza Bioncaneri,

Seria A -done
Coppa Italia -done
Champions League ?
 
Ka timu lazio imemsumbua juve halafu unakuja kumpata msn kati kuna dogo yule rakitic na mzee iniesta hamtoki
 
sio kuchukua tu yani tunapiga 5 au 4 kama ACMILAN tulivyowapigaga camp nou NAJUA GANG CHOMBA LIMEKUUMA HILI NENO


jumla ya matokeo ilikuwa 4-2...

ok turudi kwenye matokeo y fainali ya champions league mwaka 1994 je matokeo yalikuwaje?
 
sio kuchukua tu yani tunapiga 5 au 4 kama ACMILAN tulivyowapigaga camp nou NAJUA GANG CHOMBA LIMEKUUMA HILI NENO


ndio maana kila siku nawaambia muwe mnafuatilia historia ya Soka kabla hamjakurupuka kuandika
 
droo?
ndugu yangu kama upo macho malizia game...
goma limeongezwa dakika 30 na hapa ni maji ya jiooni Juve washawashikisha dole gumba la mguu hawa komba mwiko

Dah!! Usingiz ulinizidi nikajikuta nimeshindwa kuendelea ikabidi nipongeze kwa pale walipofikia.


Hongereni sana Juve kwa ushindi, Mourinho hongera sana,lindoo la pili tayari, tuombeeni na sisi Barca tarehe 30 tulibebe lindoo la pili, ili Berlin tukutane wote wenye njaa ya lindoo la tatu.

#ForzaJuve
 
Last edited by a moderator:
Dah!! Usingiz ulinizidi nikajikuta nimeshindwa kuendelea ikabidi nipongeze kwa pale walipofikia.


Hongereni sana Juve kwa ushindi, Mourinho hongera sana,lindoo la pili tayari, tuombeeni na sisi Barca tarehe 30 tulibebe lindoo la pili, ili Berlin tukutane wote wenye njaa ya lindoo la tatu.

#ForzaJuve

Ahsante everlenk, you're so sweet no wonder why vijana wa EPL wanakupapatikia
Kila la kheri na lindoo la pili ila utatusamehe maana lijindoo la Berlin ni letu for the taking, maana jana tulimaliza miaka 20 bila lindoo la Coppa Italia, hilo la UCL linafuata
 
Last edited by a moderator:
Aisee Mourinho, Viper, juve2012 hongereni sana kwa ndoo ya pili. Juve kweli mwaka huu mtaushangaza ulimwengu na si dunia. Hii kazi ya ukocha ya ajabu sana. Alegri aliyeonekana hafai Kule Milan ndio kaonekana lulu hapo Turin.

Namwona Dada everlenk akiipa kichogo EPL, mahaba kahamishia Kule laliga kwa mchepuko wake Barcelona. Wakati huo huo akijiangusha kwa maburuda wa kitaliano.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante everlenk, you're so sweet no wonder why vijana wa EPL wanakupapatikia
Kila la kheri na lindoo la pili ila utatusamehe maana lijindoo la Berlin ni letu for the taking, maana jana tulimaliza miaka 20 bila lindoo la Coppa Italia, hilo la UCL linafuata

Kizuri kula na nduguyo lakini hiyo haiwezekanik basi itabidi tutumie hii ukitaka kumuua nyani usimtazame usoni, kwa UCF hapo utanisamehe pia...... Lol
 
Last edited by a moderator:
Aisee Mourinho, Viper, juve2012 hongereni sana kwa ndoo ya pili. Juve kweli mwaka huu mtaushangaza ulimwengu na si dunia. Hii kazi ya ukocha ya ajabu sana. Alegri aliyeonekana hafai Kule Milan ndio kaonekana lulu hapo Turin.

Namwona Dada everlenk akiipa kichogo EPL, mahaba kahamisree
😐ia Kule laliga kwa mchepuko wake Barcelona. Wakati huo huo akijiangusha kwa maburuda wa kitaliano.

Hahahaha!!! Mahaba Haya acha tu .....EPL inatuangusha tu.....
 
Last edited by a moderator:
Mourinho Napoli haooooo!!! Je leo utajilipizia kisasi au ndo vile usharidhika?....... Kila la heri best yangu.....

#ForzaJuve

Hii game Napoli wanashinda, si kwa sababu ni wazuri hapana, kwa kuwa tu hii game haina madhara yoyote kwa juve. Juve watapanga kikosi cha pili. Napoli wao wanataka kushinda kwa kuwa game yao ya mwisho ni dhidi ya Lazio tena pale st paoli. Mshindi wa game ya mwisho ataamua nani aende kucheza UCL next season.
 
Last edited by a moderator:
Hii game Napoli wanashinda, si kwa sababu ni wazuri hapana, kwa kuwa tu hii game haina madhara yoyote kwa juve. Juve watapanga kikosi cha pili. Napoli wao wanataka kushinda kwa kuwa game yao ya mwisho ni dhidi ya Lazio tena pale st paoli. Mshindi wa game ya mwisho ataamua nani aende kucheza UCL next season.

Ni kweli Juve sasahivi hana presha anajifua zaidi na final,awaachie tu Napoli wajishindie hope kisasi atajilipizia msimu ujao......
Ziroseventytwo uko poa lakini?
 
Last edited by a moderator:
Nawatakia kila la heri juventus na fainali ya UEFA! Kamata kabisa kale kadwarf Kasifurukute kama ambavyo huwa kanakamatwa na Chelsea! Nyavu za chelsea kanazioneaga kwenye luninga tu!
 
Ni kweli Juve sasahivi hana presha anajifua zaidi na final,awaachie tu Napoli wajishindie hope kisasi atajilipizia msimu ujao......
Ziroseventytwo uko poa lakini?

Sister nipo poa. Hii game kama unavyosema juve hana pressure. Lakini katika timu ambazo juve hapendi kufungwa nazo ni pontenepoi na viola. Bora apigwe na Milan 5-0 kuliko apigwe 1-0 na Napoli au fiorentina .
 
Last edited by a moderator:
Sister nipo poa. Hii game kama unavyosema juve hana pressure. Lakini katika timu ambazo juve hapendi kufungwa nazo ni pontenepoi na viola. Bora apigwe na Milan 5-0 kuliko apigwe 1-0 na Napoli au fiorentina .

Ndo maana nikamchokoza Mou kwamba atakubali kipigo? Naona Napoli wamesawazisha, Mourinho uko wapi njoo hata tupige story au ndo mambo ya weekend?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom