Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
ha ha ha ha ha ha ha ha ha mwisho wa siku mtashia kusema barca kabebwa kwani hapo ndipo utakapozdsha chuki zako kwa messi kwani atawafanya vibaya na mshukuru Mungu yule Chellin kakimbia kujifanya majeruhi
Kumbe sikukosea niliposema unaona visivyokuwepo, waulize everlenk na Aleyn kama nina chuki dhidi ya Messi
Chiellini ni buluda fuluu, anaweza kuwashangaza watu dakika za mwisho kabla ya mtanange mkashangaa yupo kwenye first 11
Last edited by a moderator:

