Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Dah, hii Fainali ingeingia Ac Milan ya Gang Chomba sijui ingekuwaje, na jinsi alivyokuwa hampendi Messi muhuni yule simpatii picha.

Sikia maneno ya Del Piero

"Messi is the number one. He has talent, instinct, passion and magic," Del Piero told the official Barcelona website.

"Messi is part of football heritage and we’re so lucky that he’s living in our time and that we can enjoy watching him."

The ex-Italy international was equally effusive in his praise of Andrea Pirlo and Xavi, hailing the intelligence of the veteran midfielders.

"We’re talking about the Olympus of football, on the greatest level of intelligence.

"They are two unique parts of football history, real phenomena. It has been a pleasure to play with and against them."
 
Last edited by a moderator:
sawa mama yetu umeeleweka nilishajua Morinho kabadilika kumbe hata barca ikishinda hawez kukasirika sana

Juventus ni mke wetu ndo maana anaitwa Bibi Kizee, hili kombe limebaki ndani ya familia yetu. Sisi ndio Baba na Mama ni Juventus, kwahiyo Juventus hata akileta upinzani wa kutupa kombe ila mwisho wa siku atatupa tuu sababu Mwanaume hajawahi kuwa mwanamke kitandani kisha mke akawa mme. Kuwa na amani kijana wangu.
Imeandikwa Mke hana ruksa juu ya mwili wake, kwahiyo Juventus hana ruksa ya mwili wake, sisi ndo tumeruhusiwa juu ya mwili wake. Juventus bebi wetu tunakupenda thaaaaaaana!!!! Muah Muah Muah Muah Mourinho, Dota everlenk fumba macho usione nikimkiss mummy wako. PNC 1 na chebi kaeni lindani hakikisheni haingii mtu ndani.
 
Last edited by a moderator:
Juventus ni mke wetu ndo maana anaitwa Bibi Kizee, hili kombe limebaki ndani ya familia yetu. Sisi ndio Baba na Mama ni Juventus, kwahiyo Juventus hata akileta upinzani wa kutupa kombe ila mwisho wa siku atatupa tuu sababu Mwanaume hajawahi kuwa mwanamke kitandani kisha mke akawa mme. Kuwa na amani kijana wangu.
Imeandikwa Mke hana ruksa juu ya mwili wake, kwahiyo Juventus hana ruksa ya mwili wake, sisi ndo tumeruhusiwa juu ya mwili wake. Juventus bebi wetu tunakupenda thaaaaaaana!!!! Muah Muah Muah Muah Mourinho, Dota everlenk fumba macho usione nikimkiss mummy wako. PNC 1 na chebi kaeni lindani hakikisheni haingii mtu ndani.

Akili za kimboka-Buguruni hata sishangai, angalia tu isije mwisho wa siku ukaanza kuleta story za yule baunsa kichakani......eti kwa mbindeee sana halafu kimoko tu
 
Last edited by a moderator:
huyu babu anapiga pasi utafikiri anakosea wakat mwingine anatoa pasi kwa hisia bila kumwangalia muhusika ila lazma muhusika aipate na hata semi final na madrid yeye ndiye aliyetengeneza ule mpira mpaka ukaja karbia na chaki ukabid urudishwe kwenye 18 katika piganikupige ukamkuta morata kazi ikawa imeisha

hivi unadhani Sergio Busquets, Rakitic na Iniesta wataruhusu hawa Juve wacheze kati!!!!???? Unadhani Mid za Barca wataruhusu huo Upuuzi, yaani anakamatwa mtu kati mpaka pale mbele.
 
hivi unadhani Sergio Busquets, Rakitic na Iniesta wataruhusu hawa Juve wacheze kati!!!!???? Unadhani Mid za Barca wataruhusu huo Upuuzi, yaani anakamatwa mtu kati mpaka pale mbele.

Busquets asilete tabia zake tu za kishogamboga kuwatafutia wenzake kadi kama alivyomfanyia Motta
Wakati wewe ukiongelea hao wavulana, usisahu Vidal, Marchisio na Pogba halafu Pirlo atakua sniper tu siku hiyo
 
Busquets asilete tabia zake tu za kishogamboga kuwatafutia wenzake kadi kama alivyomfanyia Motta
Wakati wewe ukiongelea hao wavulana, usisahu Vidal, Marchisio na Pogba halafu Pirlo atakua sniper tu siku hiyo

Yule sio Cristiano Ronaldo, ule ni msuli. Yeye ni kukaba tuu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1433427928.027300.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1433427948.523948.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1433427973.441037.jpg
Hakika Agnelli na Marota wananikosha sana na kazi nzuri wanazofanya

Speaking of the move, Dybala told Sky Italia earlier this week:
'Juventus are the side who wanted me the most
'They made a real effort to sign me and this is why I made my decision. I can certainly win the Scudetto there as they are a winning team. I always play to win and can find success with them.
'It will be impossible for me to forget everything I've experienced in three years at Palermo. I was happy from the very first day. I know that to play for Juve, I have to do much more and I'm sure I can improve a great deal.'
And Dybala also revealed he hopes Carlos Tevez remains at Champions League finalists Juventus next season so he can improve his game.
'I hope he stays, as it would be much easier for me to learn and grow with him by my side.'
 
Naenda na everlenk, kachoka dingi gani unamnanga binti hadharani kuwa ni msaliti, ngoja akaonje upendo wa kibuluda

Kadota kangu everlenk katata sana nilimfata PM but ikawa bila bila, anyway tuachane na hayo. Huyu binti unaweza ukambeba maana ni msaliti sana, kama anaweza kuisaliti Barca basi hata mmewe anaweza msaliti, kumbuka ana mme huyu na mali nishajirusha nayo Kimboka usiku wa manane.
 
Last edited by a moderator:
Kadota kangu everlenk katata sana nilimfata PM but ikawa bila bila, anyway tuachane na hayo. Huyu binti unaweza ukambeba maana ni msaliti sana, kama anaweza kuisaliti Barca basi hata mmewe anaweza msaliti, kumbuka ana mme huyu na mali nishajirusha nayo Kimboka usiku wa manane.

Teh teh teh teh, taratibu Mzee wasije wakakusikia, unamwaga kuku kwenye mchele mwingi na hizo story za kimboka
 
Last edited by a moderator:
Juventus ni mke wetu ndo maana anaitwa Bibi Kizee, hili kombe limebaki ndani ya familia yetu. Sisi ndio Baba na Mama ni Juventus, kwahiyo Juventus hata akileta upinzani wa kutupa kombe ila mwisho wa siku atatupa tuu sababu Mwanaume hajawahi kuwa mwanamke kitandani kisha mke akawa mme. Kuwa na amani kijana wangu.
Imeandikwa Mke hana ruksa juu ya mwili wake, kwahiyo Juventus hana ruksa ya mwili wake, sisi ndo tumeruhusiwa juu ya mwili wake. Juventus bebi wetu tunakupenda thaaaaaaana!!!! Muah Muah Muah Muah Mourinho, Dota everlenk fumba macho usione nikimkiss mummy wako. PNC 1 na chebi kaeni lindani hakikisheni haingii mtu ndani.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Kadota kangu everlenk katata sana nilimfata PM but ikawa bila bila, anyway tuachane na hayo. Huyu binti unaweza ukambeba maana ni msaliti sana, kama anaweza kuisaliti Barca basi hata mmewe anaweza msaliti, kumbuka ana mme huyu na mali nishajirusha nayo Kimboka usiku wa manane.

Mweeeeeeeeee!!! Sina daddy hapa.. ..........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom