Karibu Barca Kaka, achana na timu za kijinga jinga kama Juve, mara ya mwisho kuingia Fainal UEFA sijui lini. Ameingia msimu huu kwa kubahatisha baada ya akaze analegezaaa!!! Kweli Barca dume, mademu wote wa Italy wanamzimikia, mpaka bibi yao Juventus anampenda Barca!!!
ha ha ha ha ha ha ha ha ha haMnaingia kila thread kujiuza masaburi yenu, hapa hatununui na tuna zero tolerance na tabia zozote zile za kishogamboga kama yule Rais wa Gambia
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
wamebaki.na picha sie makombeAaaaaah, mabingwa wa UEFA hao, mlishinda ngapi vileeee!?
Hapa vipi!?
Hapa vipi!?
Sweet Mourinho achana nao hawa wapotezee tu leo wameamua kuchafua hali ya hewa ya sport JF.
Hujambo sweetheart? I had to respond mamy, hata kama unatumia fake ID heshima ni kitu cha bure na hawa wehu naona wamejisahau
Anyway mambo yako kipenzi? Nimekumiss
KING WA SOKA DUNIANI MFALME Leo MESSI
kumbe Duniani tu?
unakuwaje mfalme wa soka Duniani huku ukiwa hujabeba kombe la Dunia wala la Bara lako?
Tena mwambie Mod aweke kabisa hii picha kwenye post ya kwanza kabisa
Si umeona tabasamu la Tavez? tee te tee
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
wamebaki.na picha sie makombe