juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Safari njema, napata wakati mgumu kwamba huyu jamaa nitamkumbuka kwa lipi.
Sasa nimesikia Mzee upo Vinovo, hebu tuhabarishe yaliyojiri, maana simuelewi kabisa Marotta
Juventus,Man city,Sevilla,Mjerumani...naenda kulala,huku baridi kali,kichwa kimeanza kuuma ghafla.