Sweetheart nilikua porini, mufindi ndanindani huko, game niliona second half mjini Iringa pale wanapaita Club VIP na nadhani club yote buluda nilikua man alone, ila wote walitambua uwepo wangu baada ya ule mkwaju wa Zaza, na tena nilikua counter, hakika vijana walinifurahisha though injury ya Kiongozi Bonucci ilinifikirisha sanaWapi Ziroseventytwo na Mourinho?????
Mzee tunawahitaji Bonucci na Chielini ASAP, hata mmoja wao tu kukabana na kina Lewa ndoo ya whiskey, na Zaza aanzishwe hiyo game alongside Dybala, Moratta kaanza uvulana wake, arudi bench kidogokama nilivyosema huyu mtu ni muhimu sana ALEX SANDRO jana kaingia tukacheza 4-5-1 na kusema kweli tulikuwa tushajiandaa na draw, pogba akaingia kati alafu sadro akacheza pembeni, mpira wake alio urudisha kwa kichwa usitoke ndo ulizaa goli,
lakini Lucky played a part, pia great turn kwa MTUKUTU SIMONE ZAZA, kumgeuza gholubary na kupiga strike ile
FORZA JUVEEEEE,, waitin for bayern GOD BE ON OUR SIDE
maana injury zimetuandama mungu saidia RUGANI dogo akomae na kina MULLER, kam jana alivyokoma na kina gonzalo
Pole na safari dear kimya kimya hatuagani au ndo ulichepuka kidogo...lolSweetheart nilikua porini, mufindi ndanindani huko, game niliona second half mjini Iringa pale wanapaita Club VIP na nadhani club yote buluda nilikua man alone, ila wote walitambua uwepo wangu baada ya ule mkwaju wa Zaza, na tena nilikua counter, hakika vijana walinifurahisha though injury ya Kiongozi Bonucci ilinifikirisha sana
Pole Mamy, naona big Sam aliwaongezea maumivu, Mzee wa philosophy hamumtupii virago tu? Mje Italia mpate kocha bora, yupo Conte na atawafaa sana
Miezi dume hii Mamy, shilingi inatafutwa mpaka porini. Sijawahi wala sina mpango wa kuchepuka, radha zoote unazo sweetheart from bedroom to the kitchen, I can only be greatful [emoji120]Pole na safari dear kimya kimya hatuagani au ndo ulichepuka kidogo...lol
Mkwaju ule ulikuwa balaaa......hope mtawapiga Bayern,Chiellin Muhimu sana kuwepo.
Sweet acha tu LVG ataniua mwisho usinifaidi bure!!,tumebaki jina tu,Mpira hakuna anyway ngoja tuendelee kusubiri maana Naona Woodward anamkingia kifua LVG.
Mkuu wakti umetaradadi, mkoloni yupo mlangoni. Tutete kidogo tactics zitakazotupa ushindi usiku wa leokama nilivyosema huyu mtu ni muhimu sana ALEX SANDRO jana kaingia tukacheza 4-5-1 na kusema kweli tulikuwa tushajiandaa na draw, pogba akaingia kati alafu sadro akacheza pembeni, mpira wake alio urudisha kwa kichwa usitoke ndo ulizaa goli,
lakini Lucky played a part, pia great turn kwa MTUKUTU SIMONE ZAZA, kumgeuza gholubary na kupiga strike ile
FORZA JUVEEEEE,, waitin for bayern GOD BE ON OUR SIDE
maana injury zimetuandama mungu saidia RUGANI dogo akomae na kina MULLER, kam jana alivyokoma na kina gonzalo
Wewe mwenzangu yaani tunapitwaaaa!!!!!Uwezi kuamini hii game siangalii...
Dah bonge la game hili.
Forza juve
Wametangulia na baiskeli ya mitiKumeshaharibika huku
Hujambo Sweetheart, I miss youForza Juve !!! Forza Juve !!!........
Mpoooooooo???? Mbona kimyaaaa? Juve piga huyo mjerumani.....
Rudi Arsenal utatupa gunduuu!!!!Wanarejea taratibu