brian360
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 224
- 32
kama nilivyosema huyu mtu ni muhimu sana ALEX SANDRO jana kaingia tukacheza 4-5-1 na kusema kweli tulikuwa tushajiandaa na draw, pogba akaingia kati alafu sadro akacheza pembeni, mpira wake alio urudisha kwa kichwa usitoke ndo ulizaa goli,
lakini Lucky played a part, pia great turn kwa MTUKUTU SIMONE ZAZA, kumgeuza gholubary na kupiga strike ile
FORZA JUVEEEEE,, waitin for bayern GOD BE ON OUR SIDE
maana injury zimetuandama mungu saidia RUGANI dogo akomae na kina MULLER, kam jana alivyokoma na kina gonzalo
lakini Lucky played a part, pia great turn kwa MTUKUTU SIMONE ZAZA, kumgeuza gholubary na kupiga strike ile
FORZA JUVEEEEE,, waitin for bayern GOD BE ON OUR SIDE
maana injury zimetuandama mungu saidia RUGANI dogo akomae na kina MULLER, kam jana alivyokoma na kina gonzalo