Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
dah leo siamini hichi kinachotokea kwa juve kweli tunaenda extra time wakati first leg tulimpga tatu NERAZZURI
Aisee poleni sana kwa kichapo cha Jana......
Mwache aendelee hivyohivyo ili siku tukimfuma tumchape akiwa na team itakayobishana kidogoLEO ROMA vs FIORENTINA Tumuombee njaa huyu GIALOROSSI, maana tokea spalleti aingie wanatoa vichapo tu, na naona El sharaway anataka asisahaulike na conte EURO 2016
Aiseeee!!!!!! Kumbe game liliendelea maana nilivyoona Juve kazidiwa nilienda zangu kulala.......hongereni kwa kupita.tumepigwa lakin tumepita kwa penati, ile gme tuliloana sana POGBA alivyoingia
kpind cha extra time tukamiliki mchezo, asamoah alichezeshwa kushoto akaangushs team sana
hakika mkuu tuombe vijana waendelee kukaza naona pogba anutendea haki uwanja anafanya kile alichofundishwaSafari kuelekea robo fainali. Dk ya 6 bayern 0-1 juve.
Mpaka hapo robo fainal tayari. Sioni ni kwa namna gani hawa munich watachomoa hizi goli...bye bye Guandiola bye bye bayern.Asnte cuardado kwa kaz nzur
Haa haaa haaa ngoma ishakuwa laini mkuu lahm katishwa katishika cuardado yuleeeMpaka hapo robo fainal tayari. Sioni ni kwa namna gani hawa munich watachomoa hizi goli...bye bye Guandiola bye bye bayern.
Endelea kuvuta shuka...Hii ngoma itaisha kwa 4- 2
nitaacha kuangalia mpira kwa miaka 6Hii ngoma itaisha kwa 4- 2
Pole sana naiona miaka sita ni mingi sananitaacha kuangalia mpira kwa miaka 6