Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

WHAT A HALF FOR BIANCONERI even though injury prone, duh hivi babu robeen yupo bench na huyo Coman asije akatuumiza mtoto wetu
 
Naanza kuiona italia ikirudi katika ubora wake kwenye soka kama juve itafanikiwa kufka fainal mwaka huu
 
Mi nilishawaambia watu, Squad inayotisha kwenye mashindano haya na watu hawataki kuwapa nafasi kwenye mikeka Yao ni Juve. Watu watakuwa wameliwa hela vibaya leo
 
Mi nilishawaambia watu, Squad inayotisha kwenye mashindano haya na watu hawataki kuwapa nafasi kwenye mikeka Yao ni Juve. Watu watakuwa wameliwa hela vibaya leo
Niliwahi kusema ucl msimu huu kuna vikosi viwili tu juve na barca. Wengine wasindikizaji. Tuombe mungu robo tupangiwe wale walemavu wa manchester.
 
Niliwahi kusema ucl msimu huu kuna vikosi viwili tu juve na barca. Wengine wasindikizaji. Tuombe mungu robo tupangiwe wale walemavu wa manchester.


UCL huwezi kuitabiri kihivyo game zinspigwa nje na ndani usishangae hata hao Barca robo fainali safari ikawskuta. Watu wengi waliwapa nafasi wajerumani angalia walivyolegezwa
 
Morata ni mchezaji special kwa Champions League
 
Morata ni mchezaji special kwa Champions League

Injury za dybal ndo maana kaanza mwenyewe lkin ilikuwa plan nzuri

but kibabu evra katuua leo, lile goli alcantatara kwa goli la pil sielewi nimpe lawam evra au POGBA but ni evra nahis alimwambia aachie ndo akapokonywa na VIDAL
 
Kocha alifanya sub ya kizembe khedera asingestahili kutoka


jamani khedira ni haki yake kutoka kama mnaangalia Seria A mtajua haamaliz dkika 90 yule ndo maan katoka without having any argument than givin motivation to his own players saa hivi yule siyo 90 min player na alivyoona costa kawekwa kati ikabid amweke kijan mwingine STURARO but ndo hivyo haikuwa game yake but KHEDIRA kutok ni kawaida kabisa i was not shocked even the prophet HERNANES, nafas kacheza ya Marchisio inabid mtu wa jihadi sana naye alikuwa kashachoka yule COSTA mtu mwingine jamani

ol in ol uzembe ni kwny wing backs tu lkini siyo coach kulaumu sub zake morata kakimbia sana ns ukiaangalia seria.A anaingia kpnd cha pili sababu zs runs unafikir ange handle 120 mins,
 
Back
Top Bottom