Juventus Special Thread

Aaah
Bado ebu tulia kwanza tuwaone mwisho wa msimu
Donnaruma huyu mtoto alishaujulisha ulimwengu kuwa yeye ndio golikipa namba moja wa italy ajae toka msimu uliopita, kama ulicheki ile game na Juve baada ya game kuisha mzee buffon alimtafuta mtoto kwenda kum-busu na mtoto ndio kwanza ana 17 saiz.
 
Donnaruma huyu mtoto alishaujulisha ulimwengu kuwa yeye ndio golikipa namba moja wa italy ajae toka msimu uliopita, kama ulicheki ile game na Juve baada ya game kuisha mzee buffon alimtafuta mtoto kwenda kum-busu na mtoto ndio kwanza ana 17 saiz.
Aaaaah
Sasa wewe mkuu umeanza dharau
Kipa namba moja Italy anajulikana ebu muache dogo akue vzuri kwanza ndio tuta mjaji
 
Sawa mimi pia ni shabiki wa Juve
Sema ujue little is known about Serie A na juve isha shnda mnoo
Nadhan ladha flan hivi imepotea
Ila mimi pia juve for life


Nikweli....Juve still wataendelea kusumbua sana serie A, style yao kidogo naona imefanana na Atletico unless they have a very speed na foward yao ni hatari mno, sio kama Atletico....labda kwa sasa vile wamesajili great playerZ naona hata game lao limebadilika kiac flani vile...
 
Hahaha
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na unacho kizungumza hapa jf
Kweli mwisho wa mwaka
 
Hahaha
Tuna shabikia vitu tofaut sana so actually huwa tunapishana mawazo, ila naona hapa kwa juve ndio at least tuna shabikia timu moja wote

Hahahaa pamoja sana @ iceman...kesho tunaelekea uk kumchapa pep...
 
Usiseme tunajitahidi sema mpo vizuri, mwakani mtatuona uefa, tuna vijana wetu pale watatu donnaruma, romagnoli & locatel ogopa sna hawa viumbe
Mlimuonea kibibi kizee mkaja mkakutana na vijana wenzenu GenoaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Aaaaah
Sasa wewe mkuu umeanza dharau
Kipa namba moja Italy anajulikana ebu muache dogo akue vzuri kwanza ndio tuta mjaji
Hahaaa sijamaanisha kwamba dogo amuweke nje buffon ila kwa umri wake ulivoenda kombe la dunia Russia golini tutakua na huyu mtoto
Mlimuonea kibibi kizee mkaja mkakutana na vijana wenzenu GenoaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu ile game ilikua yetu, licha ya paletta kula umeme dakika za mwanzo kabisa lakini tuliwakamata mno, ile sub ya Niang ndio iliharibu kila kitu.
 
Hahaha
Nimewasiliana na Buffon kwa whatsap kasema Urusi lazima aende
Dogo asubiri EURO 2020
 
Mimi huwa hunioni?[emoji15]
 
Dah wakuu naulizia channel ya kwangalia mpira online ..mwene kujua anambie wakuu
 
Pamoja na ushindi wa 2-1 dhidi ya Chievo,Juve bado hawako sawa,hasa kwenye midfield.
Wanakuwa complacent muda mwingi wa mchezo.
Buffon aliwaambia wenzake kuwa "tunashinda serie a sababu timu zinatuogopa na kuamua kuacha kucheza mpira na kulinda goli lao,ila timu mbili zilizokuwa na courage ya kupambana na sisi zote zilitufunga(Milan na Inter).Hiyo hali haipo ulaya,kwenye UCL kila timu inapambana,hakuna atakayetuogopa,hivyo tunahitaji kujituma na kuacha kubweteka".
Naona hili ndilo tatizo kwanini Juve inapata matokeo mabovu Ulaya.
Hakuna upinzani serie a.Kama mechi dhidi ya Sampdoria kocha wa Sampdoria alipumzisha mastaa wake wengi dhidi ya Juve ili aje kuwatumia mechi ilitofuatia dhidi ya Inter.
Akipoulizwa akajibu kuwa "Mtu huchagua pambano analojua atashinda" akimaanisha hakuwa na haja ya kutumia nguvu nyingi kwa Juve ambayo ni ngumu kuifunga,hivyo aliona heri nguvu wazielekeze kwa Inter,na kweli Sampdoria walipigwa 4-0 na Juve,lakini wakaja wakampiga Inter 1-0!
Sasa kama timu zina inferiority hii kwa Juve,basi wanaiua Juve maana haina upinzani,na ikifika ulaya hali inakuwa nyingine.Angalia Lyon walivyowasumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…