Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
hahahahaaNa huku upo? Tarehe 3 kati ya Ramos au Casemiro mmoja atang'olewa meno na hawa jamaa.
[emoji23]
asee yaan zinakutana timu 2 zote nazikubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaNa huku upo? Tarehe 3 kati ya Ramos au Casemiro mmoja atang'olewa meno na hawa jamaa.
Mi nilikuwa naomba iwe hivi maana kuchukua back tu back ni matusi na monaco wasingeweza kuwazuia.hahahahaa
[emoji23]
asee yaan zinakutana timu 2 zote nazikubali
hahah still mechi ni ngumu kuchukua back to back wana wezaMi nilikuwa naomba iwe hivi maana kuchukua back tu back ni matusi na monaco wasingeweza kuwazuia.
yeahOh my God!
That volley was a grave crime!
I hope Juve stadium announcer was reminding Barcelona of what they are missing....Daniii Alvees...Daniii Alvees..Daaaaniii...Alveeeees!
Itafahamika tu...Hii defence imeweza kuwasimamisha MSN,kwa dakika 180,no one repeat,no one else can breach it
What a way to double our lead!
The @DaniAlvesD2 way [emoji460][emoji41][emoji109] [HASHTAG]#ItsTime[/HASHTAG] [HASHTAG]#JuveASM[/HASHTAG]
![]()
Na huku upo? Tarehe 3 kati ya Ramos au Casemiro mmoja atang'olewa meno na hawa jamaa.
Naskia pamoja na ushindi na tiketi ya fainali na huku mashabiki na wachezaji wakipagawa na kushangilia uwanjani lakini bado kocha wa Juve aliondoka kwa hasira uwanjani baada ya mechi sababu ya goli la Mbappe.
The man is taking every detail into account,hataki defence yake ifungwe hata goli moja aisee,hapa ndipo nnapowavulia kofia wazungu.
A pure italian "catenachio" mentality.
forza juve
wana juve toka niondoke uzi umekuwa kimya
kwema hapa!?
hahahaUtakua shabiki wa tim ganii hio day?
hahahaForza madrid
wana hali nzuri wenzenuCo kwema,,,hali ni mbaya muno kwa madrinyonyo
Juve msiniangushe fainali, toeni watu machozi.