Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu siku ya fainal Uefa utakuwa upande upi huu au ule wa kwetu kule???we have taken it again
wining 2-0
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu siku ya fainal Uefa utakuwa upande upi huu au ule wa kwetu kule???
FOTO DI FAMIGLIA CON COPPA. [HASHTAG]#WeWonAgain[/HASHTAG] [HASHTAG]#JuveLazio[/HASHTAG]
![]()
Hivi hili kombe sio walilochukua ac milan msimu uliopita mechi ilichezewa china?Juventus are the first team in history to win 3 consecutive Coppa Italias:
2014/15 vs. Lazio
2015/16 vs. AC Milan
2016/17 vs. Lazio
Fanya 4 au 5 hivi Mkuu.Yaani hao micfa natamani wapigwe kama 3 ivi.
Forza Juve
Forca BianconeriBaadaye tunaanza kukusanya heshima zetu za msimu huu na kikombe kidogo pale jijini Roma
Forza Bianconeri
Kwa pamoja naomba tuishabikie Juventus Mkuu, hawa watu wapo makini.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
dont mek choose sides plz
swali limekuwa gumu kwangu sana hili
hapanaHivi hili kombe sio walilochukua ac milan msimu uliopita mechi ilichezewa china?
kuanzia mtaani watu wananiuliza aseeKwa pamoja naomba tuishabikie Juventus Mkuu, hawa watu wapo makini.
Labla wapate mbeleko kama walivyopewa Vs Bavarians na ile red kadi ya uongo kwa Vidal wakati yule Casemiro alitakiwa kupewa a justified red card alivyomfanyia faulo RobbenHakuna swali linaloniumiza kichwa kama ni namna gani ambavyo Real Madrid watapata goli mbele ya akina Bonuchi, chielin, Barzaghi n.k
Yah, nimejaribu kufuatilia kumbe ile waliochukua milan ilikua ni super copa italia 2016.[emoji122]hapana
milan alifungwa na ilichezwa Italy huko huko
Kumbe upooo!!!!Labla wapate mbeleko kama walivyopewa Vs Bavarians na ile red kadi ya uongo kwa Vidal wakati yule Casemiro alitakiwa kupewa a justified red card alivyomfanyia faulo Robben
Halafu tuna mtu anaitwa Dani Alves, kiboko ya Christina, kwa hiyo swali lako lisiishie tu kwa The BBC, bali jiulize pia Christina atakuja na mashauzi gani kumrubuni Alves amwachie apite bila kuuchezea mkwaju
Kumbe upooo!!!!
Mimi niwatakie heri zote yaani hii season UEFA ije Italy..... All the best Juve.
Fanya 4 au 5 hivi Mkuu.
kuanzia mtaani watu wananiuliza asee
utakuwa kipande ipi, but at least i'l be fine with anybody who takes t