Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Si aspetta la PREMIAZIONE! [HASHTAG]#WeWonAgain[/HASHTAG] [HASHTAG]#JuveLazio[/HASHTAG]
6163231f3829d6a341f0c5546d04e0f1.jpg
 
FOTO DI FAMIGLIA CON COPPA. [HASHTAG]#WeWonAgain[/HASHTAG] [HASHTAG]#JuveLazio[/HASHTAG]
5b75427d073887b32b331d4e399bf14c.jpg
 
Hakuna swali linaloniumiza kichwa kama ni namna gani ambavyo Real Madrid watapata goli mbele ya akina Bonuchi, chielin, Barzaghi n.k
Labla wapate mbeleko kama walivyopewa Vs Bavarians na ile red kadi ya uongo kwa Vidal wakati yule Casemiro alitakiwa kupewa a justified red card alivyomfanyia faulo Robben

Halafu tuna mtu anaitwa Dani Alves, kiboko ya Christina, kwa hiyo swali lako lisiishie tu kwa The BBC, bali jiulize pia Christina atakuja na mashauzi gani kumrubuni Alves amwachie apite bila kuuchezea mkwaju
 
Labla wapate mbeleko kama walivyopewa Vs Bavarians na ile red kadi ya uongo kwa Vidal wakati yule Casemiro alitakiwa kupewa a justified red card alivyomfanyia faulo Robben

Halafu tuna mtu anaitwa Dani Alves, kiboko ya Christina, kwa hiyo swali lako lisiishie tu kwa The BBC, bali jiulize pia Christina atakuja na mashauzi gani kumrubuni Alves amwachie apite bila kuuchezea mkwaju
Kumbe upooo!!!!

Mimi niwatakie heri zote yaani hii season UEFA ije Italy..... All the best Juve.
 
Back
Top Bottom